Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Premium ni bank gan hyo mkuu na mKato inakuaje plus service wanazotoa ?View attachment 1254844
It is happening.
Last week nimeenda kwa banker dawati la premium banking ananiambia lazima utakuwa unatrade forex na yeye anataka nimfundishe kiutani utani nimenyaka kichwa changu ada anayonilipa watanzania wachache wana moyo huo
Mzee kwanza heshima yakoAhsante umri wangu miaka 58 nilizaliwa na kukulia uchagani niko kijiji Cha Kapangalamsenga Katavi ,ni kweli ninaweza kusema mimi si maskini hata kidogo.Mimi mjanja hapa wananikubali asilimia mia moja.Karibu kwenye ujasiriamali kwenye sekta ya Kilimo
Kwa hiyo hizo screenshots za mkibaigwa ni za demo accounts.Please dont inspire people with demo account. It doesnt bring sense anywhere to anybody. I hate this guy
Kwa hiyo hizo screenshots za mkibaigwa ni za demo accounts.
👆👆Akija kutusua hapo mnaanza kujikomba komba kwenye mafanikio hapakosi changamoto
Hahaa mambo ya maapeche alolo katika zile.Nina rafiki yangu amepiga shule ya maana na anapata mshahara wenye lishe bora, lakini ni gambler. Mara nyingi ananiomba mimi apeche alolo nimsaidie kufikisha mwisho wa mwezi.