FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,050
- 2,651
Eat,sleep and trade[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AppreciateMm nilikuwa nafundisha private school napigwa kama 6k,
Ila natrade forex now naitafuta iyo 6k within one week and half.naweza piga 2M per month nakazi nimeacha nafanya forex ila nimejiajir.
Ushaur wa bure.hakuna mwalimu wa forex na hata tokea but hii nakwambia kama mwl achana na utapeli wa mitandao tafuta vitabu soma.tutorial you tube.achana na magroup ya telegram .Forex is mind game.depend how smart you are?
Mzabue booonge la kofi la Usoni, akili ikae sawaWakuu wa JF hope mko poa sana na maisha yanaenda fresh pande zenu.
Ninaandika uzi huu kwa uchungu sana kuhusu rafiki yangu wa kufa na kuzikana (he Is like a brother to me), huyu jamaa alijitumbukiza kwenye FOREX yapata mwaka sasa na hakuna kitu amefaidika nacho zaidi ya kupoteza pesa. Jamaa ni student nimekua nikimshauri sana aachane na hiyo miradi ya wazungu huko Ulaya kwani hakuna anachopata zaidi ya kuunguza account every now and then.
Jamaa ana hali mbaya sana kwa sasa ameuza kila kitu hana hata nguo ya kuvaa/kiatu lakini pesa yote ya boom + anayotumiwa kwa matumizi mengine anatumbukiza FOREX. Jana nimeongea nae aachane na hii mishe naona kama ameanza kunichukia flani, daily yupo YOUTUBE anafatilia videos about FOREX, ana groups za Telegram & Whatsapp zaidi ya 50 za mambo hayo ya FOREX na nyingi analipia. Kila nikimpa ushauri ananiona kama mimi ni kikwazo cha maisha yake, he keeps on saying anzia January nakua tajiri namwambia kirahisi hivo anasema we tulia hizi hela ni za bure lazima nizipate.
Then he keeps on saying HELA za FOREX zipo tuu na ni zabure kabisa eti mimi ndio mshamba sizitaki hizo ela za bure. FOREX complications ni nyingi sana, daily ananitajia watu wa uko SOUTH AFRICA waliofanikiwa, namjibu waliofanikiwa ni mmoja kwa milioni Ila haelewi. Bado sijajua aliemdanganya aingie kwenye hiyo mishe ni nani.
Ukimwambia FOREX ni mchezo kama UPATU anamind sana eti nisidharau biashara za watu.
Wakuu nimpe ushauri gani huyu best yangu maana anaangamia mbele ya macho yangu and sitaki kuona hilo linatokea.
Best regards,
Mbao Ya Chuma.
Trash!!Betting is better than FX
Trash!!
Ashawahi kukuonesha akaunti zake za bettingSmart money sio kwa ajili ya kila mtu...Shaffii Dauda anapiga pesa ndefu kwa betting tu
Nina 3 years kwenye FX mtu kama wewe sikuelewi unachoongeaBelieve that
Akina buffet wanapata hela bila kuwa na kampuni inayozalisha nao ni wenye dhambiNami rafiki yangu kakimbia Dar kisa Forex.Kwa nini utake pesa bila kuwajibika,na hesabu kupata pesa bila kuwajibika ni dhambi sana
Forex ni wizi, ukisha deposit pesa yako, ukianza kutrade tu mapicha picha ya red yanaanza ukija kushtuka pesa imeshateketea kwenye account, hii ni kamari ya matajiri kwa walalahoi wa nchi masikini kama tanzania ni kujiongezea umasikini tu
Kuacha kaz kama hyo si sawa na kujamba ushuz bro,acha uongo,pumbaf,huna jeur hyo labda kama meneja vodacom wa vibanda vya mpesaUsimkatishe tamaa.
Mimi nimeacha kazi nilikuwa meneja mauzo Vodacom kanda ya kaskazini nikaaacha kazi.
Nimejenga sasa nina usafiri nimeoa....
Ninaishi maisha yangu ninayotaka.
Huyo anakosea mahali anichek nimtumie vitabu 9 tu akimaliza kusoma atafaidi.
Tatizo letu hatutaki kusoma...tunapenda kutumia maarifa ya waliosoma huko kwenye magrup.
Please dont inspire people with demo account. It doesnt bring sense anywhere to anybody. I hate this guy
Akina buffet wanapata hela bila kuwa na kampuni inayozalisha nao ni wenye dhambi
Dini zinawaendesha Sana ndio maana mnabaki maskini
Teknolojia imekupitua kushoto