mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
Hehe ebu acha kunilisha maneno mkuu.[emoji15] [emoji15] [emoji15] anasumbuliwa na nn??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehe ebu acha kunilisha maneno mkuu.[emoji15] [emoji15] [emoji15] anasumbuliwa na nn??
Imeshasemwa Mara nyingi sana...mchumba au girlfriend hatunzwi Wala hasomeshwiKumsomesha mchumba najua kumewaliza na kuwatesa wengi, bahati mbaya au nzuri nami nimeangukia katika mtego huo.
Kutokana na hali ya kiuchumi najua sitaoa kwa miaka miwili mitatu ijayo.
Nimeona nimlee mtoto ambae kwa kweli ni mzuri na anazidi kupendeza.
Yeye hajui chochote, nimeongea na mlezi wake kakubali. Ila najua kuna mawili, ukiacha kifo kututenganisha, ni aje abadilike awe na tabia mbaya au anikatae.
Najipanga kisaikolojia kwa yote huku nikimuomba Mungu kwangu na kwa huyu mtoto asibadilike na aje anipende.
Dua zenu pia ushauri nini naweza fanya kudhibiti tabia na mengineyo kwa wenye uzoefu na wajuzi.
Achana nae aisee..bado mdogo sana kwako..Yuko under 18 na anaanza form one mwakani
Nielekeze mahali anapoishi ili nikusaidie kukulindia ndani ya hiyo miaka minneKumsomesha mchumba najua kumewaliza na kuwatesa wengi, bahati mbaya au nzuri nami nimeangukia katika mtego huo.
Kutokana na hali ya kiuchumi najua sitaoa kwa miaka miwili mitatu ijayo.
Nimeona nimlee mtoto ambae kwa kweli ni mzuri na anazidi kupendeza.
Yeye hajui chochote, nimeongea na mlezi wake kakubali. Ila najua kuna mawili, ukiacha kifo kututenganisha, ni aje abadilike awe na tabia mbaya au anikatae.
Najipanga kisaikolojia kwa yote huku nikimuomba Mungu kwangu na kwa huyu mtoto asibadilike na aje anipende.
Dua zenu pia ushauri nini naweza fanya kudhibiti tabia na mengineyo kwa wenye uzoefu na wajuzi.
Ngoja nimsomeshe kma ndugu au msaada nikiweka asilimia 10 za kumpataImeshasemwa Mara nyingi sana...mchumba au girlfriend hatunzwi Wala hasomeshwi
Tuombe uzima ntaleta mrejesho
Kwa TZ tuliyokua nayo sasa, huyo mtoto atakuwa na 13yrs of age(Max)Ukweli hajui kma ninania hiyo, ila akiniona anaaibu sana na muda mwengine hujificha , sijajua kma hanipendi au nini, ila mimi namkubari sana ingawa najua safari sio ndogo mana four years ahead apo kati kunamengi