Nimsomeshe kisha nimuoe aje kua mke(akimaliza form four)

Nimsomeshe kisha nimuoe aje kua mke(akimaliza form four)

Tenda wema Mungu atakulipa...
Akitulia alikuwa wako, akikutoka haikupangwa itokee...


Cc: mahondaw


Definitely, and God bless you my Smart911 am so grateful for your help and support the time I needed them.

Thank you so much Smart911 [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Yan Kuna Wanaume Ma Famba Haijawah Kutokea, Ok Akifaulu 4m 4 Aende Adv Au Chuo We Utakua Unamsubilia Tu Utakua Umemfunga Akili Na Hisia Ye Asipende Isitoshe Hujamwambia Kama Unataka Kumuoa Nyie Ndo Huwa Mnajinyonga ,,, Nisikufiche Ur Lodi LOFA
 
Muoe kwanza ila usisomeshe mchumba utalia kilio cha mbwa mdomo juu
 
haha ha ha mkuu tafadhali usije fanya hivyo bbora
ufuge kuku wa kula
 
Age gap inaruhusu hata kama ungekuwa na miaka30, so unaweza kumsubr but ktk kipind hicho kuwa serious na kutafuta Maisha, jitahid before hajaua f4 uwe na Harrier Lexus, nyumba kali na MIRADI ya maana, achana na habar za kumsomesha mkuu, hiyo hela wekeza but jifanye kuwa karib nae(usiwe too jelous bro,huu ndo unakupa ujinga wa kumsomesha).... women are dreamless, make money you'll win the race, unaemuona wa kuoa mwenzako anamchezea na unaemchezea mwenzako anaona wa kuoa, ubinadamu Kazi, welcome back to the street Babu Seya
 
Age gap inaruhusu hata kama ungekuwa na miaka30, so unaweza kumsubr but ktk kipind hicho kuwa serious na kutafuta Maisha, jitahid before hajaua f4 uwe na Harrier Lexus, nyumba kali na MIRADI ya maana, achana na habar za kumsomesha mkuu, hiyo hela wekeza but jifanye kuwa karib nae(usiwe too jelous bro,huu ndo unakupa ujinga wa kumsomesha).... women are dreamless, make money you will surely win the race, unaemuona wa kuoa mwenzako anamchezea na unaemchezea mwenzako anaoana wa kuoa...ubinadamu Kazi, welcome back to the street Babu Seya
Daa kweli ww ni baba, agsante kwa ushauri wako.
 
Kumsomesha mchumba najua kumewaliza na kuwatesa wengi, bahati mbaya au nzuri nami nimeangukia katika mtego huo.

Kutokana na hali ya kiuchumi najua sitaoa kwa miaka miwili mitatu ijayo.

Nimeona nimlee mtoto ambae kwa kweli ni mzuri na anazidi kupendeza.

Yeye hajui chochote, nimeongea na mlezi wake kakubali. Ila najua kuna mawili, ukiacha kifo kututenganisha, ni aje abadilike awe na tabia mbaya au anikatae.

Najipanga kisaikolojia kwa yote huku nikimuomba Mungu kwangu na kwa huyu mtoto asibadilike na aje anipende.

Dua zenu pia ushauri nini naweza fanya kudhibiti tabia na mengineyo kwa wenye uzoefu na wajuzi.
Kwakuwa unajua kuwa ni HATARI KUMSOMESHA MCHUMA.
kilala heri.....
 
Hapo bolded black utakuwa umefanya jambo la maana, kujiandaa kisaikolojia ndicho kitu wengii huwa wanakosa.
Naamini hakuna wa kujiandaa kisaikolojia katika hili. Huyu ndugu huo msada ni vema akawapa ndugu zake wenye shida kuna uwezekano watamkumbuka na kumuenzi daima.NB: WAPO WALIO CHANGANYIKIWA BAADA YA KUACHWA NA WALIOWASOMESHA!
 
Ngoja nimsomeshe kma ndugu au msaada nikiweka asilimia 10 za kumpata

Sababu__
Hata nisipomuwazia yy , sioni wa kumuwazia,
Mbili ni mzuri na ametulia sijui abadilike
Kwa jinsi unavyoongea inaonakana na wewe ni mtoto tu....au kama ni mtu mzima bac kwenye hii sector uko nyuma sana...acha kuweka hisia mbele....weka akili kwanza...

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
 
Ukweli hajui kma ninania hiyo, ila akiniona anaaibu sana na muda mwengine hujificha , sijajua kma hanipendi au nini, ila mimi namkubari sana ingawa najua safari sio ndogo mana four years ahead apo kati kunamengi
Asee usifanye hivyo ndugu yangu!!
 
Labda kama utamsomesha kwenye huu mfumo wa elimu bure. Ila kama ni huko kwenye mamilioni hata wazazi wako kama wapo hai wakibaini hilo watakuachia radhi kabla hujachizika kwa atakachokufanya huyo binti binti.
 
Kumsomesha mchumba najua kumewaliza na kuwatesa wengi, bahati mbaya au nzuri nami nimeangukia katika mtego huo.

Kutokana na hali ya kiuchumi najua sitaoa kwa miaka miwili mitatu ijayo.

Nimeona nimlee mtoto ambae kwa kweli ni mzuri na anazidi kupendeza.

Yeye hajui chochote, nimeongea na mlezi wake kakubali. Ila najua kuna mawili, ukiacha kifo kututenganisha, ni aje abadilike awe na tabia mbaya au anikatae.

Najipanga kisaikolojia kwa yote huku nikimuomba Mungu kwangu na kwa huyu mtoto asibadilike na aje anipende.

Dua zenu pia ushauri nini naweza fanya kudhibiti tabia na mengineyo kwa wenye uzoefu na wajuzi.
Unatakiwa uchapwe viboko 12 ili akili ikukae sawa.
 
Labda kama utamsomesha kwenye huu mfumo wa elimu bure. Ila kama ni huko kwenye mamilioni hata wazazi wako kama wapo hai wakibaini hilo watakuachia radhi kabla hujachizika kwa atakachokufanya huyo binti binti.
Ukweli ni mzuri lkn sikatai kua bado ni mtoto hajajua kuchagua, sijamgusia na sitarajii kumgusia labda akiwa form four mwishoni, tatizo linakuja kua.

Wanasema hta nipenda, lkn nikiangalia wapo walonitamkia kunipenda na machoz bado walinitenda. Nahis kma nimekua sugu kwa kweli.
Matumiz yaweza kua kma 150,000 kwa mwez ivi approximately milioni moja na nusu kwa mwaka. Ukiacha vile vya kuanzia.

Af ananiona aibu sana , sasa sijui ni ishara gani,
Nazidi kuomba mungu aniunganishe nae.
She is real beauty.
 
Ukweli ni mzuri lkn sikatai kua bado ni mtoto hajajua kuchagua, sijamgusia na sitarajii kumgusia labda akiwa form four mwishoni, tatizo linakuja kua.

Wanasema hta nipenda, lkn nikiangalia wapo walonitamkia kunipenda na machoz bado walinitenda. Nahis kma nimekua sugu kwa kweli.
Matumiz yaweza kua kma 150,000 kwa mwez ivi approximately milioni moja na nusu kwa mwaka. Ukiacha vile vya kuanzia.

Af ananiona aibu sana , sasa sijui ni ishara gani,
Nazidi kuomba mungu aniunganishe nae.
She is real beauty.
Kuna hisia fulani anazo juu yako labda kutokana na mazingira fulani aliyoyahisi kutoka kwako. Pia yaweza kua labda ni mihemko ya kimwili anayoipitia sasa na kwa kua pengine uko nae karibu sana hivyo option ya mihemko yake inakuwa inakuona zaidi wewe. N way si kwamba hicho utakachofanya kamwe hutafanikiwa la hasha, unaweza kuja ukatimiza malengo, isipokuwa ni kwamba unacheza kamari ambayo imeegemea kwenye kuliwa zaidi. Kwa kuwa umesema umepitia mengi basi pengine hiyo itakusaidia kupoza maumivu kwa kuzigatia kuwa hilo siyo penzi lako la awali. ILA HAKIKISHA UNAVYOSEMA UMEJIANDAA KIAKILI IWE HIVYO KWELI NA SI UTANI UTANI.
 
Yan kama kubet vile anything may happen at any time mkeka unachanika. Watu uwi uwi uwi iiiiiiiiii
Maisha sio kusoma tu mbona hata kujua kkk inamtosha mtengenezee ujasiri wa kujiamini na kutafuta chake kwa jasho atakupa msaada mkubwa sana kuliko kupoteza pesa kumpeleka shule
Ni kama kufuga chatu mwisho wa siku. Anakumeza ww mwenywe uliemfumga
 
Ukweli ni mzuri lkn sikatai kua bado ni mtoto hajajua kuchagua, sijamgusia na sitarajii kumgusia labda akiwa form four mwishoni, tatizo linakuja kua.

Wanasema hta nipenda, lkn nikiangalia wapo walonitamkia kunipenda na machoz bado walinitenda. Nahis kma nimekua sugu kwa kweli.
Matumiz yaweza kua kma 150,000 kwa mwez ivi approximately milioni moja na nusu kwa mwaka. Ukiacha vile vya kuanzia.

Af ananiona aibu sana , sasa sijui ni ishara gani,
Nazidi kuomba mungu aniunganishe nae.
She is real beauty.
Ww umekuja kucheza na akili zetu, ni Bora umsubr tu kuliko kuchangia chochote ktk Safar yake ya elimu, utakuja kulia ww, ..kama unabisha Google majibu ya swali lako
 
Back
Top Bottom