Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza mkuu. Mimi hata Kama mtoto ni wangu nikigundua usaliti live options ni mbili(Kama mtoto ameshazaliwa) anipe mwanangu nikalee mwenyewe hata Kama Ana wiki au amlee yeye bila kupata msaada wowote kutoka kwangu.Asirudi nyumban kwako, akae kwao hukohuko usitoe tumizi hata shiling mia Kwa sababu kubwa Moja 'Huna uhakika mimba ni yako"..ni kosa na dhambi kubwa kulea mimba isokua yako au mtoto asokua wako ili hali imetokea Ndani ya Ndoa.
Namaanisha hivi, Bora kulea watoto wa Singo Maza ulokutana naye anaontayari, kuliko kulea mimba ya kuchepukiwa mpaka anazaa namtoto sio wako.
Wewe mwambie am sorry, Lea mimba yako, Zaa , DNA itafata...akiwa Wako utamuita napo utamuita Kwa mashariti mazito kwelikweli.
Akiwa sio wako, potelea mbali, hujapoteza.
Haya Maisha yanahitaji uwe mbinafsi sana kwanza wewe mwenyewe, Kisha uwe mwema Kwa mtu ambaye ni mwema kwako, na Uwe katili Kwa mtu ambaye ni katili kwako
Kamwe USITHUBUTU kuendeshwa na machozi ya mwanamke, machozi ya mwanamke Huwa ni maigizo, nandio maana wao chochote kile kinachoitaji aonewe huruma, hutanguliza machozi !!!
Hongera, komaa hapohapo, usiachie!!
kwani wewe umeamuaje.?Nilitoa mada majuzi juu ya tukio la mke wangu kuwasiliana na ex wake. Naeleza jinsi nilivyomkataza mimba akiwa na miezi miwili na nikagundua bado mawasiliano yapo mpaka imefikisha miezi saba. Nikagundua yaliyojificha, kwamba yule jamaa alitakiwa na yeye ana mimba yake na mke wangu. Wakaenda kupima na wakagundua ni kweli, lakini jamaa akagoma kutokana na muda waliokutana ulikuwa ni siku tano nyuma na mke wangu ndiye aliyemfuata na kudai ana mimba yake.
Nilichofanya ni kumpiga makofi mke wangu mara kumi na kumwondoa kwao. Leo napigiwa simu na ndugu zake wakiomba msamaha kwangu kwa sababu maisha ni magumu sana kijijini. Kama jamaa aliikataa mimba, mawasiliano bado yaliendelea, na yeye anadai kuwa jamaa ndiye aliyekuwa anamsumbua.
Ni kweli kwamba wanaume wanachepuka, lakini siyo kuleta mimba za wasiwasi nyumbani. Bado anang'ang'ania kuwa mimba ni yangu.
===
Pia soma Nilee mimba au nimwache?
Mkuu mbona jibu lipo wazi? Unaleaje mimba yenye mashaka? Unamkubalije mwanamke aliyekusaliti mpaka akapata mimba yenye mashaka? Emb kuwa mwanaume kamili!Nilitoa mada majuzi juu ya tukio la mke wangu kuwasiliana na ex wake. Naeleza jinsi nilivyomkataza mimba akiwa na miezi miwili na nikagundua bado mawasiliano yapo mpaka imefikisha miezi saba. Nikagundua yaliyojificha, kwamba yule jamaa alitakiwa na yeye ana mimba yake na mke wangu. Wakaenda kupima na wakagundua ni kweli, lakini jamaa akagoma kutokana na muda waliokutana ulikuwa ni siku tano nyuma na mke wangu ndiye aliyemfuata na kudai ana mimba yake.
Nilichofanya ni kumpiga makofi mke wangu mara kumi na kumwondoa kwao. Leo napigiwa simu na ndugu zake wakiomba msamaha kwangu kwa sababu maisha ni magumu sana kijijini. Kama jamaa aliikataa mimba, mawasiliano bado yaliendelea, na yeye anadai kuwa jamaa ndiye aliyekuwa anamsumbua.
Ni kweli kwamba wanaume wanachepuka, lakini siyo kuleta mimba za wasiwasi nyumbani. Bado anang'ang'ania kuwa mimba ni yangu.
===
Pia soma Nilee mimba au nimwache?
Mkuu, asilimia kubwa ya Wanawake ambao hawana hofu ya Mungu ndivyo walivyo, usijipe Imani sana kuwa wako ni mwaminifu labda kama ana hofu ya Mungu.Mnaokotaga wapi wanawake wapumbavu namna hii. Jamani wanaume tujifunze kusema NO. Tujipe thamani na tuchague watu wa kutoka nao. Shubamiti