Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Wazee wa mega picture.... 😊😁Samsung s22 🔥🔥🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wa mega picture.... 😊😁Samsung s22 🔥🔥🔥
Naunga mkono hoja.flagship za mwaka juzi kama s22
Ila S22 ni ya mwaka janaNaunga mkono hoja.
tena mwezi wa 2Ila S22 ni ya mwaka jana
Resale valueHivi mpk unanunua simu ya 1m unatafuta nini,space kubwa,Ram kubwa,Camera kali,speed ya simu au battery kubwa?nifahamisheni hasa,maana kuna simu zinaitwa Google pixel nasikia camera yake ni kali sana,ila bado naona watu wanataja Xiaomi,Tecno,Samsung n.k .au kuna watu wanapenda umbo la simu na hayo mengine hawajali sana...
mwamba huyu hapa.xiaomi aina gani?
Hapo unaongelea Redmi Note 12 Turbo ambayo inauzwa around laki 7, hii ni nzuri kwa bei yake so haiwezi kuizidi Xiaomi 12T Provipi kuhusu xiaomi note 12 turbo?
Hiyo ni Xiaomi 12T, iko poa Sanamwamba huyu hapa.
Huyo mnyama ni balaa tupu, kwa akina midrange mi huyo ndo king wangu.Hiyo ni Xiaomi 12T, iko poa Sana
Xiaomi 12T Pro ndio kaka yake huyu, Kwa hiyo bajeti yake akipata Xiaomi 12T Pro yenye 12GB 256GB itakuwa poa sana
Ndg yangu Ka kumamoto nunua Samsung itakuwa bomba sanaMambo vipi wanajamvi.
Naombeni ushauri wenu wataalam wa sim za mkonini. Kwa bajeti hiyo sim ipi itanifaa?
yes nimeona ina SD 8 gen 1Hapo unaongelea Redmi Note 12 Turbo ambayo inauzwa around laki 7, hii ni nzuri kwa bei yake so haiwezi kuizidi Xiaomi 12T Pro
Xiaomi 12T Pro ni nzuri zaidi na hata bei yake ni 1.2 million
Mtu anataka simu we unamletea habari za kukuNunua simu ya laki 4 then laki 6 weka mradi wa kuku wa kienyeji sehemu then uje hapa baada ya mwaka kunishukuru
Yeahyes nimeona ina SD 8 gen 1
Nenda china plaza pale,siku hizi kuna maduka yanajitahidi kwa simu za second hand zinakua fresh tu,kwa bajeti yako unaweza kupata google pixel 6a au hata samsung s21 nzuri ila wakupe guarantee hata ya mwezi,simu mpya TZ nakushauri kwa mawakala wenyewe,kkoo nyingi ni refurbishedMambo vipi wanajamvi.
Naombeni ushauri wenu wataalam wa sim za mkonini. Kwa bajeti hiyo sim ipi itanifaa?
Wapi napata s 22 ultra kwa m 1 😀😀Kuna Samsung Galaxy S22 Ultra, hii ipo yani inaexist
Ila jamaa hapo juu kasema Samsung Galaxy Note 22 Ultra ambayo hai-exist duniani
S22 Ultra kwa milioni 1 huwezi kupata [emoji28][emoji28]Wapi napata s 22 ultra kwa m 1 [emoji3][emoji3]
Sumsung na iPhone wamefeli kwenye suala la betri tu yaani chaja Kama laptop tu.Sikushauri Samsung wala iPhone, karibu Xiaomi.
Ipo vivo milioni 3.5Kuna TECNO nimeona tiGO wamatangaza kuwa inauzwa milioni 2.5 nikajisemea mwanangu kua uyaone.