Nina 40,000 Nifanye nini ifike 80,000 ndani ya siku 7

Nina 40,000 Nifanye nini ifike 80,000 ndani ya siku 7

Kuna simu zinauzwa kwa mkopo kawekeze hiyo 40, chukua simu kauze kwa bei ya sokoni, kamalizie deni baki na faida
Kwa Fadhila zako,

Muulize ni kwa ajili gani? Kama itamake sense kwako, niambie. Nitamsaidia.

Kama haitakuwa na maana, achana naye.

Nakuheshimu sana Jr.
 
Kwa Fadhila zako,

Muulize ni kwa ajili gani? Kama itamake sense kwako, niambie. Nitamsaidia.

Kama haitakuwa na maana, achana naye.

Nakuheshimu sana Jr.
Hivi ulivyoandika si ungemuuliza muhitaji mwenyewe kuliko kumtuma mkubwa jr.
 
Back
Top Bottom