Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Kuna simu zinauzwa kwa mkopo kawekeze hiyo 40, chukua simu kauze kwa bei ya sokoni, kamalizie deni baki na faidaSalam Wakuu
Kama heading inavyojieleza, Nipo mkoani, Je ninawezaje kutumia fedha hi niliyonayo kufikia malengo yangu ndani ya muda tajwa?