Nina bahati mbaya na ma Ex, wengi wanavinyongo na hasira na mimi.

Nina bahati mbaya na ma Ex, wengi wanavinyongo na hasira na mimi.

haszu

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2017
Posts
978
Reaction score
2,313
kuna huyu dada ye mwenyewe ndo alijileta, baada ya muda kwenye mahusiano nikamwambia ukweli kwa nia njea ya kumsaidia kua mi naona yeye sio type yangu , kuliko kupoteza muda ni vema aangalie atakaeendana nae mana mi sioni future na yeye. Ningeweza kumchezea na kumpotezea muda ila nimeamua kua mwema kwake.

Sasa cha ajabu ameniwekea kinyongo hadi leo, inafikia hatua hata nikiwa na jambo ofisi anayofanya kazi ya serikali, haoneshi ushurikiano kama mtu anaenifahamu.

Na si yeye tu, ma ex wengi walojipata wanahasira na mimi had leo bado sijui hawa move on au vipi.

Na kama ningeoa mke kishoia nadhan vijembe vingekua vingi sana.
Pamoja na nyadhfa zao, bado hawawez kua na mwanaume km mimi.
 
Waitishe ma ex wako wote kikao maalumu mjadili hili jambo. Hili suala ni mtambuka linagusa maisha yako na watu wako wa karibu pia. Napendekeza kikao kifanyike mapema iwezekanavyo kuweka mambo sawa kabla haujafika mbali kwenye hatua za mahusiano na ndoa
 
Sasa km wee mwanzoni ulimnyaliii, ulitakaa akuchekee tyuuh?
Hapoo ni viwingu na vikwidu had ujutee, mxxxxxxxiiiiiiieeeeew.

Ma ex wa aina yako, huwa nawanyoosha had wanakubalii wenyewee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Another mbinu ukitaka kumuacha mtu muache kimya Kimya we usimtafute wala nn atachoka mwenyewe
 
Bikira Mariam baada ya kupata mimba isiyo na maelezo,Yusuf mumewe alitaka kumuacha kwa siri,huo ndio uanaume usiwe unawatamkia wanawake kuwa tuachane,we wapige matukio wakimbie wenyewe
 
Back
Top Bottom