Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani mkuuHauko serious kwenye comments na ndio uhalisia wako. Ila huwa nikikutana nazo zinanichekesha sana, hivo ukisema unaweza kuandika script naamini haraka zaidi kwa vile najua uwezo wako wa kuendana na mada iliyoletwa ila ukachekesha
Mkuu,Nikikuajiri Unataka Nikulipe Bei Gani Kwa Saa?Ntakuwa nafanya kazi kama nani.?
Mfano: cameraman, video editor, script writer etc
Good.NitakutafutaTsh 700 kwa saa.
Nafahamu hilo mkuu, kuna mahali nipo ila sio permanent mana mhusika Ana timu yake na hawezi kuongeza mtu ila hua naenda kugusa gusa baadhi ya mambo, wanahusika kwenye harusi na mengineyo so sio uhakika kwamba utakuwa hapo au utapata kazi kwa uhakika mana sherehe ni mpaka itokee kuwepo, ndo mana natafuta sehemu ambayo itakuwa permanent ili na mm niweze kuendesha maisha yangu mwenyewe.Unataja makampuni makubwa badala ya kwenda kuwaomba ma-video shooter wa kwenye harusi za mitaani au watu wanaotengeneza movie za mitaani za kina Mkojani. Achana na ma TV makubwa kama una nyota itaonekana huku chini na utapanda mpaka ufike CNN
Komaa huko kama unaweza hata TV zitakuonea huko huko. Usitake kuanzia TV kubwa wakati hawajui kipaji chakoNafahamu hilo mkuu, kuna mahali nipo ila sio permanent mana mhusika Ana timu yake na hawezi kuongeza mtu ila hua naenda kugusa gusa baadhi ya mambo, wanahusika kwenye harusi na mengineyo so sio uhakika kwamba utakuwa hapo au utapata kazi kwa uhakika mana sherehe ni mpaka itokee kuwepo, ndo mana natafuta sehemu ambayo itakuwa permanent ili na mm niweze kuendesha maisha yangu mwenyewe.
Naelewa hyo struggle maana mm nmesomea koz ka yako ila nmeamua kujikita upande wa graphic design kwa sasa maana ndio kitu inanifanya naishi,kweny filam ntarud ila nkiwa na kila kituBado natafuta kazi wakuu
Wakati unahangaika pia ingia YouTube jifunze mambo ya ziada.Nafahamu hilo mkuu, kuna mahali nipo ila sio permanent mana mhusika Ana timu yake na hawezi kuongeza mtu ila hua naenda kugusa gusa baadhi ya mambo, wanahusika kwenye harusi na mengineyo so sio uhakika kwamba utakuwa hapo au utapata kazi kwa uhakika mana sherehe ni mpaka itokee kuwepo, ndo mana natafuta sehemu ambayo itakuwa permanent ili na mm niweze kuendesha maisha yangu mwenyewe.
DIPLOMA miaka miwili udom, japokuwa kuna vyuo vingine wanafundisha kama somo lisilokuwa na cheti maalumu na cjajua kwa upande wao inachukua muda gani.samahani ni chuo gani wanafundisha hizo course na ni kwa mda gani natamani Sana kusomea hayo
Mpe mchanganuo mfano kwa editing nitahitaji imac pro inauzwa bei flani camera nitahitaji Canon EOS inauzwa bei hii na ofisi pango ni kiasi flani na tutafanya hivi kuingiza faida ukijibu hivyo kwa ufupi unaweza poteza muwekezaji kuna watu wana mitaji lakini hawajui wawekezeje na wapiSio chini ya milioni 20 hapo atleast unapata vitu vitu vya kisasa