Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
- Thread starter
- #41
Sawa boss, ngoja niandae list na hapo itabidi niingie dukani kuulizia baadhi ya vituMpe mchanganuo mfano kwa editing nitahitaji imac pro inauzwa bei flani camera nitahitaji Canon EOS inauzwa bei hii na ofisi pango ni kiasi flani na tutafanya hivi kuingiza faida ukijibu hivyo kwa ufupi unaweza poteza muwekezaji kuna watu wana mitaji lakini hawajui wawekezeje na wapi