Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuchukuliwa sababu tra wanataka watu wa hesabu na ww hesabu ulikimbiaHabari za muda huu kwa mara nyingine, nina cha NTA Level 6 course ya Maendeleo ya Jamii. Naruhusiwa kuomba kazi ya Tax Management assistant II?
Embu screenshot alafu tuma apaMbona zile za Custom officers walitaka mtu wa Maendeleo ya Jamii
Sasa si uombe,kwani kuna aliyekuzuia kuomba?Kumbuka nimesoma Economic Development kama somo pia nimesoma Accountancy ndani ya iyo iyo Maendeleo ya Jamii.. unajaribu kunikatisha tamaa 🤣🤣
Una ufahamu wowote khs Somo la Kodi?Kumbuka nimesoma Economic Development kama somo pia nimesoma Accountancy ndani ya iyo iyo Maendeleo ya Jamii.. unajaribu kunikatisha tamaa 🤣🤣
KwaniniHaa hapa nimejichanganya kidogo
Mbona zile za Custom officers walitaka mtu wa Maendeleo ya Jamii
Job description ziko wazi. Fuata muongozoKumbuka nimesoma Economic Development kama somo pia nimesoma Accountancy ndani ya iyo iyo Maendeleo ya Jamii.. unajaribu kunikatisha tamaa [emoji1787][emoji1787]
Shughuli yote iko hapo boss wangu.Hapana