Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ombaKumbuka nimesoma Economic Development kama somo pia nimesoma Accountancy ndani ya iyo iyo Maendeleo ya Jamii.. unajaribu kunikatisha tamaa 🤣🤣
Angalia tangazo limeanisha sifa zipi, kama sifa zilizotajwa unazo omba.Kumbuka nimesoma Economic Development kama somo pia nimesoma Accountancy ndani ya iyo iyo Maendeleo ya Jamii.. unajaribu kunikatisha tamaa [emoji1787][emoji1787]
Ata kama umesoma ajira portal haitambui hilo watakugomea. Ila kwanini unajisumbua kuuliza hapa... jaribu kuapply upate jibu la uhakika.Kumbuka nimesoma Economic Development kama somo pia nimesoma Accountancy ndani ya iyo iyo Maendeleo ya Jamii.. unajaribu kunikatisha tamaa [emoji1787][emoji1787]
Mkuu ww Kaz zako zipo hospital na wizara ya afya huko ...tax itakuchosha utakuja kuonekana uliforge vyeti bure maana utakua kilaza wa mwisho kaziniKumbuka nimesoma Economic Development kama somo pia nimesoma Accountancy ndani ya iyo iyo Maendeleo ya Jamii.. unajaribu kunikatisha tamaa [emoji1787][emoji1787]
[emoji23]Kumbuka nimesoma Economic Development kama somo pia nimesoma Accountancy ndani ya iyo iyo Maendeleo ya Jamii.. unajaribu kunikatisha tamaa [emoji1787][emoji1787]
Tra hawachukui kozi za kipumbavu hizo
Hili si sahihi kumjibu mtu, tafadhali mfate PM umuombe msamaha.Tra hawachukui kozi za kipumbavu hizo
We omba tu watajua wenyeweHabari za muda huu kwa mara nyingine, nina cha NTA Level 6 course ya Maendeleo ya Jamii. Naruhusiwa kuomba kazi ya Tax Management assistant II?
Sasa si ndio huna vigezoHaa najaribu kuomba wanasema application FAILED