Tatizo Nisha confirmUn
Unaweza. Ila kama nia yako ni kuhama chuo kwanini usikiombe hicho chuo kwa sasa? Apply tena
Tanzania ukisoma physics, Chemistry, Biology, mathematics isiyokua na Education ndani yake unakua huna tofauti na mwanafunzi wa stream ya sayansi( Form Four A) wa pale Mbeya day
Kwanini ubadili Dogo, Chagua hiyo nursing sio mbaya. Kuna physiotherapy na medical laboratory pia,Vipi kuhusu hiyo nursing nawezs kubadili bila shida
Haya ajichanganye na maisha haya asomee account maana hesabu inapanda ni rahisi kupata kaziSio kweli bhn mbn wa kiume wapo wengi
Kasome SUA uzame kwenye kilimo na ufugaji utanishukuru baadaeNimechaguliwa UDOM kusoma bachelor of science in physics.
Nimejaribu kufuatilia naona kama sio ualimu ila wakati nafanya application nilidhani ni education.
Naombeni mnishauri cha kufanya wakubwa zangu.
Utampa mtajiKasome SUA uzame kwenye kilimo na ufugaji utanishukuru baadae
Nakuunga mkono hata asipo ajiriwa hawez kosa shamba la kulima kikubwa awe na kichwa cha maana mana SUA sio mchezoKasome SUA uzame kwenye kilimo na ufugaji utanishukuru baadae
Duh unataka kwenda mpk ugandaNImewaza kwenda Kampala nikabadili koz mkuu vipi unaweza sema?