Nina Division Two ya point 10 (PCB)

Nina Division Two ya point 10 (PCB)

Bora chemistry wanajulikana kazi zao, mara nyingi ni Quality assurance officer viwaandani.


Ila Bio, Physics, Math, yaani mtu anafika mwaka wa 3 hajui hata anasomea kazi gani
Sii anasoma ili avumbje vitu...hizo sio kozi za kusoma watu wenye tamaa na range rover au pisi kali
 
Bwana wewe hayo masomo ni kwa watu ambao wanataka kuvumbua vitu sio watu wanataka sijui kuendesha range rover mara kugegeda warembo wakali.
Hawa watu tunawahitaji mwanawane
Hahahaha topic hata km ni ya mambo ya elimu lazima utainyumbulisha mpaka uihusishe na mambo ya kugegeda...
 
Kwenye ishu ya kugegeda warembo ndo concern yako kubwa mkuu, ww umebobea kwenye Hilo zaidi kuliko hayo mengine..
Lakini mie uzuri wangu nawaambia ukweli na nilishasema hapa mara kdhaa kuwa mie ni kibamia napenda kugegeda lakini najua sijui kugegeda
 
Lakini mie uzuri wangu nawaambia ukweli na nilishasema hapa mara kdhaa kuwa mie ni kibamia napenda kugegeda lakini najua sijui kugegeda
Hahahaha Kwa hiyo unapenda kugegeda ila una- underperform... we jamaa unaniacha hoi sana maana haujawah kuwa serious
 
Hahahaha Kwa hiyo unapenda kugegeda ila una- underperform... we jamaa unaniacha hoi sana maana haujawah kuwa serious
Ah tatizo binadamu wanajifanya wao wote wanajua kugegeda wakati ukweli ni kwamba kugegeda nacho kipaji.
Mie kipaji cha kugegeda mwanamke vizuri sina ila napenda kugegeda....i just love the naked female body
 
Back
Top Bottom