MAJIYAPWANI
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,726
- 2,691
Cjajua but chukua ushauri tofauti tofauti maamuzi utakayofanya sa hv ndo yata tengeneza future yako.VPI nikiomba kuhama chuo nikaenda kubadilisha kozi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cjajua but chukua ushauri tofauti tofauti maamuzi utakayofanya sa hv ndo yata tengeneza future yako.VPI nikiomba kuhama chuo nikaenda kubadilisha kozi?
Sii anasoma ili avumbje vitu...hizo sio kozi za kusoma watu wenye tamaa na range rover au pisi kaliBora chemistry wanajulikana kazi zao, mara nyingi ni Quality assurance officer viwaandani.
Ila Bio, Physics, Math, yaani mtu anafika mwaka wa 3 hajui hata anasomea kazi gani
Kwa mustakabali na ustawi Bora wa maisha ya baadae tafuta kozi nyingine yenye kuonekana kuwa na Tija mbeleni. Lipia subiri majibu.Saivi nasikia ni 50
Hahahaha topic hata km ni ya mambo ya elimu lazima utainyumbulisha mpaka uihusishe na mambo ya kugegeda...Bwana wewe hayo masomo ni kwa watu ambao wanataka kuvumbua vitu sio watu wanataka sijui kuendesha range rover mara kugegeda warembo wakali.
Hawa watu tunawahitaji mwanawane
Kwenye ishu ya kugegeda warembo ndo concern yako kubwa mkuu, ww umebobea kwenye Hilo zaidi kuliko hayo mengine..Sasa ndiio maana nikamwambia dogo kuwa kama anataka kuendesha range rover na kugegeda warembo basi huko sio kwake.
Lakini mie uzuri wangu nawaambia ukweli na nilishasema hapa mara kdhaa kuwa mie ni kibamia napenda kugegeda lakini najua sijui kugegedaKwenye ishu ya kugegeda warembo ndo concern yako kubwa mkuu, ww umebobea kwenye Hilo zaidi kuliko hayo mengine..
Sasa wew u adha i bila kugegedua a dunia ina raha gani. Huo ndio ufunguo wa maishaHahahaha topic hata km ni ya mambo ya elimu lazima utainyumbulisha mpaka uihusishe na mambo ya kugegeda...
Unamaanisha KAZI ya ualimu inafaa kwa wanawake sio wanaume!I mean hiyo fani ya ualimu ni nzuri ila kwa wanaume mmh haileti mvuto sorry
Hahahaha Kwa hiyo unapenda kugegeda ila una- underperform... we jamaa unaniacha hoi sana maana haujawah kuwa seriousLakini mie uzuri wangu nawaambia ukweli na nilishasema hapa mara kdhaa kuwa mie ni kibamia napenda kugegeda lakini najua sijui kugegeda
Ah tatizo binadamu wanajifanya wao wote wanajua kugegeda wakati ukweli ni kwamba kugegeda nacho kipaji.Hahahaha Kwa hiyo unapenda kugegeda ila una- underperform... we jamaa unaniacha hoi sana maana haujawah kuwa serious
Fumba macho niombe na wewe,🙇Ah tatizo binadamu wanajifanya wao wote wanajua kugegeda wakati ukweli ni kwamba kugegeda nacho kipaji.
Mie kipaji cha kugegeda mwanamke vizuri sina ila napenda kugegeda....i just love the naked female body
Ili iwaje mwanawane?Fumba macho niombe na wewe,🙇
kwa sasa ni 50,000/=Chuo kikifunguliwa wahi mapema UDOM Kuna fursa ya kubadili kozi.
Kama sikosei miaka iliyopita ilikuwa unalipa 300 kubadili
NdiooUnamaanisha KAZI ya ualimu inafaa kwa wanawake sio wanaume!
Unaweza. Ila kama nia yako ni kuhama chuo kwanini usikiombe hicho chuo kwa sasa? Apply tenaHivi ukiwa chuoni huwezi kuhama kwenye chuo kingine na ukabadilisha koz baada ya kuhama?