Nina Division Two ya point 10 (PCB)

Nina Division Two ya point 10 (PCB)

MH mbona Nouma sasa
Un

Unaweza. Ila kama nia yako ni kuhama chuo kwanini usikiombe hicho chuo kwa sasa? Apply tena
Tatizo Nisha confirm
Tanzania ukisoma physics, Chemistry, Biology, mathematics isiyokua na Education ndani yake unakua huna tofauti na mwanafunzi wa stream ya sayansi( Form Four A) wa pale Mbeya day
 
Vipi kuhusu hiyo nursing nawezs kubadili bila shida
Kwanini ubadili Dogo, Chagua hiyo nursing sio mbaya. Kuna physiotherapy na medical laboratory pia,

Note: Kama una C ya chemistry kwenye hiyo dvsn, maisha yako yatakuwa mepesi.
 
Nimechaguliwa UDOM kusoma bachelor of science in physics.

Nimejaribu kufuatilia naona kama sio ualimu ila wakati nafanya application nilidhani ni education.

Naombeni mnishauri cha kufanya wakubwa zangu.
Kasome SUA uzame kwenye kilimo na ufugaji utanishukuru baadae
 
Mzee kasome hata Diploma ya Clinical Officer Baadae usome Degree ya Udaktari

Usiposikiliza ushauri huu tukutane 2026 mtaani
 
Ukisoma hiyo kasome master ya medical physics, hapo utakuwa sokoni. Ila ukiishia na bsc of physics nitakupa pole kubwa
 
Back
Top Bottom