Nina furaha kuwa baada ya Yanga SC Kufuzu CAFCC atakayejadiliwa zaidi Jamiiforums ni GENTAMYCINE na siyo Mwingine

Nina furaha kuwa baada ya Yanga SC Kufuzu CAFCC atakayejadiliwa zaidi Jamiiforums ni GENTAMYCINE na siyo Mwingine

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Asante Mwenyezi Mungu kwa kunipa Talanta Kubwa ya Kujitengenezea Mjadala na niwe Mjadiliwa Mkuu wa Matukio Kinzani hapa Jamiiforums.

Watu tokea Saa 4 Kamili Usiku huu baada ya Mechi ya Yanga SC na Club Africaine kumalizika Akili zao zote zilikuwa ziko Jamiiforums na hasa hasa Kwangu Mimi GENTAMYCINE ili Wanishushue au Wanicheke na hata Kunidhihaki pia ili mradi tu Wairidhishe Mioyo yao.

Na wapo ambao walidhani baada ya Ushindi wa Yanga SC basi GENTAMYCINE ningeona Aibu kuja (kuwepo) hapa Jamiiforums ila wanashangaa kuwa nipo na bado naendelea Kutiririka na Kuserereka vile vile kama Kawaida yangu.

Wapo Watu ambao wana Chuki nami hivyo najua nao kupitia huu Ushindi wa Yanga SC watapata nafasi ya Kumalizia Hasira zao Kwangu.

Kama huamini kuwa baada ya Ushindi wa Yanga SC huko nchini Tunisia kuanzia sasa hapa Jamiiforums atakayezunguzwa na Kujadiliwa zaidi ni Mimi GENTAMYCINE na wala siyo Yanga SC au Rais wao Injinia Hersi au Msemaji wao Kamwe au Kocha wao Nabi anza sasa kupitia Comments za Watu mara baada ya Uzi huu kwenda Hewani mtayaamini haya niyasemayo.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
Asante Mwenyezi Mungu kwa kunipa Talanta Kubwa ya Kujitengenezea Mjadala na niwe Mjadiliwa Mkuu wa Matukio Kinzani hapa Jamiiforums.

Watu tokea Saa 4 Kamili Usiku huu baada ya Mechi ya Yanga SC na Club Africaine kumalizika Akili zao zote zilikuwa ziko Jamiiforums na hasa hasa Kwangu Mimi GENTAMYCINE ili Wanishushue au Wanicheke na hata Kunidhihaki pia ili mradi tu Wairidhishe Mioyo yao.

Na wapo ambao walidhani baada ya Ushindi wa Yanga SC basi GENTAMYCINE ningeona Aibu kuja ( kuwepo ) hapa Jamiiforums ila wanashangaa kuwa nipo na bado naendelea Kutiririka na Kuserereka vile vile kama Kawaida yangu.

Wapo Watu ambao wana Chuki nami hivyo najua nao kupitia huu Ushindi wa Yanga SC watapata nafasi ya Kumalizia Hasira zao Kwangu.

Kama huamini kuwa baada ya Ushindi wa Yanga SC huko nchini Tunisia kuanzia sasa hapa Jamiiforums atakayezunguzwa na Kujadiliwa zaidi ni Mimi GENTAMYCINE na wala siyo Yanga SC au Rais wao Injinia Hersi au Msemaji wao Kamwe au Kocha wao Nabi anza sasa kupitia Comments za Watu mara baada ya Uzi huu kwenda Hewani mtayaamini haya niyasemayo.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
utajadiliwa kwa upumbavu wako
 
Take it easy, ts just football. Vyura wamekuprove wrong, let it happen.
Ninapopatia katika Maandiko yangu Mnafiki na Mpumbavu Wewe huwa unajitokeza Kunipongeza?
 
Unajikuta star
Tumbafu
Nisingekuwa Star mngepoteza muda Wenu Kunijadili, Kubishana na Kujibizana hivi nami badala ya Kujadili Mafanikio ya leo ya Timu yenu ya Yanga SC?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
Nisingekuwa Star mngepoteza muda Wenu Kunijadili, Kubishana na Kujibizana hivi nami badala ya Kujadili Mafanikio ya leo ya Timu yenu ya Yanga SC?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Alieandika hapa ni jinsia Ke without a doubt
 
Acha kunitoa kwenye reli. Story iliyopo ni kwamba mabasha wako ulio kuwa una washobokea wamekalia kimoja.
Mbona safari hii katika post yako sijaona tena neno Bunda? au umeshajishtukia kuwa Watu tunakuchora, nakusanifu na Nimeshakudharau vya kutosha?
 
Back
Top Bottom