Nina furaha kuwa baada ya Yanga SC Kufuzu CAFCC atakayejadiliwa zaidi Jamiiforums ni GENTAMYCINE na siyo Mwingine

Nina furaha kuwa baada ya Yanga SC Kufuzu CAFCC atakayejadiliwa zaidi Jamiiforums ni GENTAMYCINE na siyo Mwingine

Mbona safari hii katika post yako sijaona tena neno Bunda? au umeshajishtukia kuwa Watu tunakuchora, nakusanifu na Nimeshakudharau vya kutosha?

Mkataa kwao mtumwa. Yani unidharau KWA sababu nimesema unaishi Bunda? Are u insane?
 
Mkataa kwao mtumwa. Yani unidharau KWA sababu nimesema unaishi Bunda? Are u insane?
Unamjua aishie Bunda ila Jinsia yake huijui mpaka ukauliza hapa JamiiForums kwa Wadau hivi majuzi?

Nikikuita Mpumbavu na Taahira nitakuwa nakosea?
 
DAH SIWEZI KUBISHANA NA WEWE KWASABABU IN HARMONIZE VOICE HUO NI USHAMBA MSHAMBA MMOJA SIBISHANI TENA NA WEWE MJUAJI A.K.A MR MUCH KNOW
 
Hapana utakuwa hukosei mkuu
Unamjua aishie Bunda ila Jinsia yake huijui mpaka ukauliza hapa JamiiForums kwa Wadau hivi majuzi?

Nikikuita Mpumbavu na Taahira nitakuwa nakosea?
 
Haya wacha niliweke . Mtoa mada popoma amezaliwa Bunda anaishi Bunda hajawahi kufika dar.
Sasa imekuwaje pamoja na kusema Unamjua ( tena Ukijimwambafai ) kama Malaya ( Makahaba ) wa Afrika Sana bado huijui Jinsia yake / yangu?
 
DAH SIWEZI KUBISHANA NA WEWE KWASABABU IN HARMONIZE VOICE HUO NI USHAMBA MSHAMBA MMOJA SIBISHANI TENA NA WEWE MJUAJI A.K.A MR MUCH KNOW
Mshamba ambaye Kutwa ( 24/7 ) unamfuatilia hapa JamiiForums huku ukimshambulia kwa Multiple ID's zako na kudhani kuwa Mimi ni Mpumbavu ( Idiot ) kama Wewe na sitokujua wala Kukushtukia?
 
MIMI TO BE HONEST SIWEZI NIKAKUFUATILIA WEWE UNA MANUFAA KWANGA NI FALA MMOJA IVI AMBAYE UKIANDIKA THREAD UNATAKA UJIFANYE UNAJUA VINGI WAKATI NI FALA MMOJA IVI ACHA DHARAU JITAMBUE PUNGUZA EGO
 
MIMI TO BE HONEST SIWEZI NIKAKUFUATILIA WEWE UNA MANUFAA KWANGA NI FALA MMOJA IVI AMBAYE UKIANDIKA THREAD UNATAKA UJIFANYE UNAJUA VINGI WAKATI NI FALA MMOJA IVI ACHA DHARAU JITAMBUE PUNGUZA EGO
Mtu ambaye unasema huwa humfuatilii uwapo hapa Jamiiforums unaweza kujua kuwa ana hizi Tabia ( Characters ) ulizozitaja hapa Pumbavu ( Idiot ) Mmoja Wewe?
 
SAWA UMESHINDA ILA MIMI SIWEZI KUBISHANA NA MVAA KANGA NYEKUNDU KAMA WEWE USIKU MWEMA I DON'T NEED ANY ARGUMENT FROM YOU FOOL NEGRO
 
SAWA UMESHINDA ILA MIMI SIWEZI KUBISHANA NA MVAA KANGA NYEKUNDU KAMA WEWE USIKU MWEMA I DON'T NEED ANY ARGUMENT FROM YOU FOOL NEGRO
Mbona hata aliyekuleta duniani hupenda sana Kuvaa hiyo khanga akija Kunitembelea Maghetoni Kwangu na wala humshangai?
 
1668028422354.jpg
 
Asante Mwenyezi Mungu kwa kunipa Talanta Kubwa ya Kujitengenezea Mjadala na niwe Mjadiliwa Mkuu wa Matukio Kinzani hapa Jamiiforums.

Watu tokea Saa 4 Kamili Usiku huu baada ya Mechi ya Yanga SC na Club Africaine kumalizika Akili zao zote zilikuwa ziko Jamiiforums na hasa hasa Kwangu Mimi GENTAMYCINE ili Wanishushue au Wanicheke na hata Kunidhihaki pia ili mradi tu Wairidhishe Mioyo yao.

Na wapo ambao walidhani baada ya Ushindi wa Yanga SC basi GENTAMYCINE ningeona Aibu kuja ( kuwepo ) hapa Jamiiforums ila wanashangaa kuwa nipo na bado naendelea Kutiririka na Kuserereka vile vile kama Kawaida yangu.

Wapo Watu ambao wana Chuki nami hivyo najua nao kupitia huu Ushindi wa Yanga SC watapata nafasi ya Kumalizia Hasira zao Kwangu.

Kama huamini kuwa baada ya Ushindi wa Yanga SC huko nchini Tunisia kuanzia sasa hapa Jamiiforums atakayezunguzwa na Kujadiliwa zaidi ni Mimi GENTAMYCINE na wala siyo Yanga SC au Rais wao Injinia Hersi au Msemaji wao Kamwe au Kocha wao Nabi anza sasa kupitia Comments za Watu mara baada ya Uzi huu kwenda Hewani mtayaamini haya niyasemayo.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Wacongo wamemlaza mwarabu huko,, sahivi wanakuja kumlaza tolu
 
Ninapopatia katika Maandiko yangu Mnafiki na Mpumbavu Wewe huwa unajitokeza Kunipongeza?

Sijui, sina hakika kama nimeshapongeza au la sababu sina kawaida ya kukariri id, najibugi hoja na kuchangia mada tu bila kujali id na sina kumbukumbu ya id yako.

Ila kwa mada yako hii Uto wamekuprove wrong. Hakuna neno utasema litafuta lililokupata. Wamemaliza.
 
Back
Top Bottom