Mbona safari hii katika post yako sijaona tena neno Bunda? au umeshajishtukia kuwa Watu tunakuchora, nakusanifu na Nimeshakudharau vya kutosha?
Mbona neno la Bunda hujaliweka hapa?Bushman katika ubora wake
Haya wacha niliweke . Mtoa mada popoma amezaliwa Bunda anaishi Bunda hajawahi kufika dar.Mbona neno la Bunda hujaliweka hapa?
Unamjua aishie Bunda ila Jinsia yake huijui mpaka ukauliza hapa JamiiForums kwa Wadau hivi majuzi?Mkataa kwao mtumwa. Yani unidharau KWA sababu nimesema unaishi Bunda? Are u insane?
Unamjua aishie Bunda ila Jinsia yake huijui mpaka ukauliza hapa JamiiForums kwa Wadau hivi majuzi?
Nikikuita Mpumbavu na Taahira nitakuwa nakosea?
Sasa imekuwaje pamoja na kusema Unamjua ( tena Ukijimwambafai ) kama Malaya ( Makahaba ) wa Afrika Sana bado huijui Jinsia yake / yangu?Haya wacha niliweke . Mtoa mada popoma amezaliwa Bunda anaishi Bunda hajawahi kufika dar.
Nashukuru kwa kukubali kuwa you're a damn and authentic fooll while on the other side you're a Mental.Hapana utakuwa hukosei mkuu
Funza walioko Ubongoni mwako Mkuu.Hivi hii dawa ya 'gentamicin' inatibu magonjwa gani?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nashukuru kwa kukubali kuwa you're a damn and authentic fooll while on the other side you're a Mental.
Mshamba ambaye Kutwa ( 24/7 ) unamfuatilia hapa JamiiForums huku ukimshambulia kwa Multiple ID's zako na kudhani kuwa Mimi ni Mpumbavu ( Idiot ) kama Wewe na sitokujua wala Kukushtukia?DAH SIWEZI KUBISHANA NA WEWE KWASABABU IN HARMONIZE VOICE HUO NI USHAMBA MSHAMBA MMOJA SIBISHANI TENA NA WEWE MJUAJI A.K.A MR MUCH KNOW
Mtu ambaye unasema huwa humfuatilii uwapo hapa Jamiiforums unaweza kujua kuwa ana hizi Tabia ( Characters ) ulizozitaja hapa Pumbavu ( Idiot ) Mmoja Wewe?MIMI TO BE HONEST SIWEZI NIKAKUFUATILIA WEWE UNA MANUFAA KWANGA NI FALA MMOJA IVI AMBAYE UKIANDIKA THREAD UNATAKA UJIFANYE UNAJUA VINGI WAKATI NI FALA MMOJA IVI ACHA DHARAU JITAMBUE PUNGUZA EGO
Mbona hata aliyekuleta duniani hupenda sana Kuvaa hiyo khanga akija Kunitembelea Maghetoni Kwangu na wala humshangai?SAWA UMESHINDA ILA MIMI SIWEZI KUBISHANA NA MVAA KANGA NYEKUNDU KAMA WEWE USIKU MWEMA I DON'T NEED ANY ARGUMENT FROM YOU FOOL NEGRO
Wacongo wamemlaza mwarabu huko,, sahivi wanakuja kumlaza toluAsante Mwenyezi Mungu kwa kunipa Talanta Kubwa ya Kujitengenezea Mjadala na niwe Mjadiliwa Mkuu wa Matukio Kinzani hapa Jamiiforums.
Watu tokea Saa 4 Kamili Usiku huu baada ya Mechi ya Yanga SC na Club Africaine kumalizika Akili zao zote zilikuwa ziko Jamiiforums na hasa hasa Kwangu Mimi GENTAMYCINE ili Wanishushue au Wanicheke na hata Kunidhihaki pia ili mradi tu Wairidhishe Mioyo yao.
Na wapo ambao walidhani baada ya Ushindi wa Yanga SC basi GENTAMYCINE ningeona Aibu kuja ( kuwepo ) hapa Jamiiforums ila wanashangaa kuwa nipo na bado naendelea Kutiririka na Kuserereka vile vile kama Kawaida yangu.
Wapo Watu ambao wana Chuki nami hivyo najua nao kupitia huu Ushindi wa Yanga SC watapata nafasi ya Kumalizia Hasira zao Kwangu.
Kama huamini kuwa baada ya Ushindi wa Yanga SC huko nchini Tunisia kuanzia sasa hapa Jamiiforums atakayezunguzwa na Kujadiliwa zaidi ni Mimi GENTAMYCINE na wala siyo Yanga SC au Rais wao Injinia Hersi au Msemaji wao Kamwe au Kocha wao Nabi anza sasa kupitia Comments za Watu mara baada ya Uzi huu kwenda Hewani mtayaamini haya niyasemayo.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
Ninapopatia katika Maandiko yangu Mnafiki na Mpumbavu Wewe huwa unajitokeza Kunipongeza?