Nina furaha kuwa baada ya Yanga SC Kufuzu CAFCC atakayejadiliwa zaidi Jamiiforums ni GENTAMYCINE na siyo Mwingine

Rubbish.
 
Wewe ni Chocco tu tena una gubu sana na Yanga kama limama vile
 
Furaha itoke wapi Popoma?
 
Unajikaza tu lkn mood haiko sawa broo. Tumewapiga mawifibzenu huko uarabuni mnasemaje sasa
 
Unajikaza tu lkn mood haiko sawa broo. Tumewapiga mawifibzenu huko uarabuni mnasemaje sasa
Anasema anafuraha wakati ukimkosoa kidogo anatukana.Hii ni dalili ya mtu mwenye huzuni kali Sana.
 
Nani wa kukujadili wewe popoma!
 
Unajikaza tu lkn mood haiko sawa broo. Tumewapiga mawifibzenu huko uarabuni mnasemaje sasa
Nami bado nauliza je, baada ya Yanga SC Kufuzu Makundi ya CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la Walioshindwa ( Losers ) au?
 
Anasema anafuraha wakati ukimkosoa kidogo anatukana.Hii ni dalili ya mtu mwenye huzuni kali Sana.
Nami bado nauliza je, baada ya Yanga SC Kufuzu Makundi ya CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la Walioshindwa ( Losers ) au?
 
Nami bado nauliza je, baada ya Yanga SC Kufuzu Makundi ya CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la Walioshindwa ( Losers ) au?
This time, kubali tu jamaa yangu umepuyanga! Wewe pamoja na wenzako wachache mlikuwa na matumaini makubwa sana ya Wananchi kufurushwa kwenye haya mashindano! Kisa tu wanacheza na Waarab! Halafu kwenye ardhi yao!

Ila mwisho wa siku ndiyo hivyo tena, mambo yameenda tofauti kabisa na matarajio! Hivyo ni wakati wenu sasa kuvuna aibu.
 
Nami bado nauliza je, baada ya Yanga SC Kufuzu Makundi ya CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la Walioshindwa ( Losers ) au?
 
Nami bado nauliza je, baada ya Yanga SC Kufuzu Makundi ya CAFCC tuendelee kuliita hili ni Kombe la Walioshindwa ( Losers ) au?
Tuendelee kuita tu haina shida.Ninachojua fika na bila wasiwasi ni kwamba,Gentamycene Sasa anapitia kipindi kigumu Sana katika maisha yake.
 
Tuendelee kuita tu haina shida.Ninachojua fika na bila wasiwasi ni kwamba,Gentamycene Sasa anapitia kipindi kigumu Sana katika maisha yake.
Na akubali tu anahitaji msaada wa haraka wa kisaikolojia, kabla ya mambo kuharibika kabisa upstairs.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…