Nina GPA kubwa 4.1 ya Rasilimali watu(HR) ila kazi sipati

Nina GPA kubwa 4.1 ya Rasilimali watu(HR) ila kazi sipati

Wakuu natumaini mko poa.

Mimi ni graduate, jinsi Ke, nimemaliza mwaka 2022 degree ya Human Resource Management kwa ufaulu wa GPA ya 4.1.

Kabla ya kuhitimu nilishawahi kufanya practical training (field) kwenye taasisi ya serikali, hivyo nina ujuzi wa karibia miezi mitano.

Pia mwaka 2023 nilibahatika kupata kazi ya afisa masoko (ambayo ni nje ya career yangu) ambayo kiukweli ilikuwa na changamoto nyingi mno zilinipa stress nyingi plus mshahara mdogo mno unaoishia kwenye nauli.

Naomba yeyote mwenye connection ya kazi ya human resource anisaidie au hata kama una kampuni au unafanya kazi kwenye kampuni na ina uhitaji wa human resource/assistant human resource nipo tayari kufanya kazi.

Nina uwezo mzuri wa kufanya kazi (analytical and technical).

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa kila mmoja atakayesoma uzi huu.

Email: lovenessmartin0@gmail.com

Kazi zipo bro, ila ajira ndiyo hamna.
 
Wakuu natumaini mko poa.

Mimi ni graduate, jinsi Ke, nimemaliza mwaka 2022 degree ya Human Resource Management kwa ufaulu wa GPA ya 4.1.

Kabla ya kuhitimu nilishawahi kufanya practical training (field) kwenye taasisi ya serikali, hivyo nina ujuzi wa karibia miezi mitano.

Pia mwaka 2023 nilibahatika kupata kazi ya afisa masoko (ambayo ni nje ya career yangu) ambayo kiukweli ilikuwa na changamoto nyingi mno zilinipa stress nyingi plus mshahara mdogo mno unaoishia kwenye nauli.

Naomba yeyote mwenye connection ya kazi ya human resource anisaidie au hata kama una kampuni au unafanya kazi kwenye kampuni na ina uhitaji wa human resource/assistant human resource nipo tayari kufanya kazi.

Nina uwezo mzuri wa kufanya kazi (analytical and technical).

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa kila mmoja atakayesoma uzi huu.

Email: lovenessmartin0@gmail.com
Kuna raha yake na karaha yake kuwa na GPA kubwa kama hiyo. Kwenye soko la ajira hasa private hawaangalii GPA sanaa, wao wanataka kuona je skills ulizonazo zitaweza vipi kuleta tija kwenye nafasi unayoomba. Kikubwa ni kuhakikisha unakuwa na skills relevant na career yako ili uendapo mbele kuwania fursa za ajira uwe na confidence. Nakutakia mafanikio kwenye mapambano yako
 
Wakuu natumaini mko poa.

Mimi ni graduate, jinsi Ke, nimemaliza mwaka 2022 degree ya Human Resource Management kwa ufaulu wa GPA ya 4.1.

Kabla ya kuhitimu nilishawahi kufanya practical training (field) kwenye taasisi ya serikali, hivyo nina ujuzi wa karibia miezi mitano.

Pia mwaka 2023 nilibahatika kupata kazi ya afisa masoko (ambayo ni nje ya career yangu) ambayo kiukweli ilikuwa na changamoto nyingi mno zilinipa stress nyingi plus mshahara mdogo mno unaoishia kwenye nauli.

Naomba yeyote mwenye connection ya kazi ya human resource anisaidie au hata kama una kampuni au unafanya kazi kwenye kampuni na ina uhitaji wa human resource/assistant human resource nipo tayari kufanya kazi.

Nina uwezo mzuri wa kufanya kazi (analytical and technical).

Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa kila mmoja atakayesoma uzi huu.

Email: lovenessmartin0@gmail.com
Hongera nyingi kwa ufaulu mzuri....

Kila laheri..... utapata kazi Insha-Allah...
 
Mungu atakusimamia utapata hitaji lako,ila course nyingine ni changamoto kwenye suala la ajira tofauti na course za Afya au Ualimu,unakuta ofisi Moja Ina watumishi zaidi ya 300 lakini HRO mmoja tu anatosha wakati huo vyuo vinamwaga maelfu ya wahitimu Kila mwaka! course kama hizi unatakiwa iwe kama nyongeza katika profession fulani ukiwa tayari umeajiriwa .
 
Tatizo la utitiri wa vyuo matokeo ndiyo haya, zamani form 4 tu una uhakika wa ajira 100%, ni kufedhehesha wasomi, matokeo yake pia wahanga wa Pdiddy watakuwa wengi kulikuwa na haja gani ya kuongeza vyuo wakati ajira ni chache.
 
Back
Top Bottom