Nina haja ya dhati Lamomy wa JF kwenye maisha na huduma yangu daima

Shukrani sana Mkuu!
 
Chezea polisi weyee, tena hawa wa bongo walio vurugwa, mbna kazi alikua nayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nacheka km mwehu!
Anko sijui aliiba nini?? Na alivyo bonge jamani nimemuonea huruma mimi!!!

Anko mabakuri aache janja janja πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mbona huu mwaka kaufunga vibaya??
 
Gentleman,
hii mbona ilisha na kuhitimishwa kistarabu sana humu humu jukwaani, na haikua na haja muendelezo wowote kabisa.

inafct, maisha mengine yanaendelea vizuri sana mahali pengine kwa sasa
πŸ˜„πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…