Shukrani sana Mkuu!Ndugu zangu wapendwa sana,
Nawiwa kuwaalika na kuwakaribisha nyote katika karamu ambayo ni riziki ya chakula cha jioni.
Unaweza ukasema ni mapema sana, lakini kwakweli leo binafsi, kwa sehemu kubwa nimeishi kwa neno zaidi, nilikua site huko vikindu na kuhakikisha malengo na kazi zote za leo zinaisha na kutimia, maana huku ukiacha hata tofali tu, nnjenje kesho hulikuti. Basi ndio binadamu tena...
Vinginevyo nawashukuru sana nawatakia mapumziko mema ya usiku wa leo.
Mwenyezi Mungu awabariki sana nyote..
Aimen
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muambie aache ubakhili, mie nazingatia maokotoo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kantry kasema anakuona unavyotaka kumsaliti na ushemeji wenu
Chezea polisi weyee, tena hawa wa bongo walio vurugwa, mbna kazi alikua nayo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anko kawa mpole hata sijamzoea hivi mimi!!!
ππππ khaaaaa!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muambie aache ubakhili, mie nazingatia maokotoo
ππππππ nacheka km mwehu!Chezea polisi weyee, tena hawa wa bongo walio vurugwa, mbna kazi alikua nayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema usihangaike bnππππ hiyo hatareee sasa
Kijana kabla hujamjua Ms eyes ulikua vizuri kiimaniAmen ndugu,
Tuimbe fungu la kwanza wimbo namba 180 'Mwamba wangu wa kale' huku waliojiandaa kwa fungu la kumi wasonge mbele.
Acha kukumbusha mapito yatakukuta naweπππ Kenzy acha hizo naanzaje kujitongoza jamani!!! Sema wewe toka yule jamaa akupige kisa kutaka kulipiza karma bado hauko sawa
Hii damu azizi ni mpya au kuna kitu kimenipita ktk biblia?[emoji23]Nakuombea neema ya utakaso wa damu azizi ya Yesu Kristo
Hahaaa aisee nimesoma kipande hiki saa 11 asubuhi now na nimecheka.we jamaa mnafki sana, nakumbuka juzi juzi tu hapa ulikua unawasimanga wadada nyuchi zao zinatema, labda kama umeokoka hivi karibuni
ππππππππNi dume hilo πππ
Gentleman,Uliishia wapi mkuu ulimpata πππ
ππππππGentleman,
hii mbona ilisha na kuhitimishwa kistarabu sana humu humu jukwaani, na haikua na haja muendelezo wowote kabisa.
inafct, maisha mengine yanaendelea vizuri sana mahali pengine kwa sasa