Nina haja ya dhati Lamomy wa JF kwenye maisha na huduma yangu daima

Nina haja ya dhati Lamomy wa JF kwenye maisha na huduma yangu daima

Ndugu zangu wapendwa sana,

Nawiwa kuwaalika na kuwakaribisha nyote katika karamu ambayo ni riziki ya chakula cha jioni.

Unaweza ukasema ni mapema sana, lakini kwakweli leo binafsi, kwa sehemu kubwa nimeishi kwa neno zaidi, nilikua site huko vikindu na kuhakikisha malengo na kazi zote za leo zinaisha na kutimia, maana huku ukiacha hata tofali tu, nnjenje kesho hulikuti. Basi ndio binadamu tena...

Vinginevyo nawashukuru sana nawatakia mapumziko mema ya usiku wa leo.
Mwenyezi Mungu awabariki sana nyote..
Aimen πŸ™
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Kumekucha

Hivi makamanda wenzangu mbona hamnipendi? Au ndio mko busy na kuipambania katiba mpya?
Kila siku mimi napendwa na vijana wa Mama Kizimkazi!!! Why? Makamanda mnaniangusha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
CCM wananibeba hivyo ooh!!!

Kwako baba mtumishi Tlaatlaah
Nashukuru kwa kunipenda ingawa sijui umenipenda na umevutiwa na kitu gani na mimi? Sio kesi hata mimi NAKUPENDA km Yesu alivyolipenda kanisa. UPENDO WA AGAPE
Mahusiano na ndoa ni jambo jema, hata vitabu vya Mungu vinatuasa mtu mume na mtu mke waungane wawe mwili mmoja ili waijaze dunia. Ndiomana hata Mungu alivyomuumba Adam hakuona sahihi akamletea msaidizi ambaye ni Hawa ( Ambao ndio sisi kina Lamomy)
Ahsante kwa upendo na mapenzi yako makubwa uliyoonyesha kwangu.
Najua mpaka kuamua kuja na uzi km huu ulichukua muda mrefu kujipanga na kujiandaa hukukurupuka!!! Kuna kitu kilikusukuma moyoni mwako. [emoji120]

Sasa baba mtumishi pamoja na yote hayo mwenzio mimi mpenzi wa mtu na mpenzi wangu yupo humu humu tena mwana CCM mwenzio. Nampenda kuliko maelezo.
Sina haja ya kumficha anaitwa Countrywide mwenyewe nimezoea kumuita Kantry nampenda chugga man wangu. Samahani kwa kusema haya.

Mwisho nikuombe usikate tamaa kutafuta yule ambaye atakuwa chaguo lako na utakayempenda kwa dhati ya moyo.
Nasikia uchungu kukujibu hivi lakini ndio hivyo siwezi kumuacha nimpendaye kwaajiri ya kumfurahisha mtu mwingine.
Damu ya Yesu ikulinde baba mtumishi.
Aimen [emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu unayawezaaa.
 
Back
Top Bottom