INAUZWA Nina hama nauza vitu vifuatavyo

INAUZWA Nina hama nauza vitu vifuatavyo

Siwezi kwenda navyo nitanunua vingine huku siku za usoni.
 
Yaaan watu wanachunguuuza balaaaa
 
ameoa cheki hii picha vizuri
1484463506345-jpg.460160
Watu mna macho duuhh
 
Tv laki Sita NA nusu nicheki 0677009572 whatsapp , kuanzia saa 12 joini, niko safarini kuja Tz
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mkuu karibu njoo na 75o nikupe tv na stand yake karibu mno
 
Jaman nna monitor ya dell inch 18 , 2 speaker , keyboard .(90,000) pm
 
Tv ilishaondka mkuu zimebakia sofa tu nauza bei ya kugawa
 
Back
Top Bottom