INAUZWA Nina hama nauza vitu vifuatavyo

INAUZWA Nina hama nauza vitu vifuatavyo

ameoa cheki hii picha vizuri
1484463506345-jpg.460160
Duuuu!!! Jf ni jicho lisilo kengeza,mwee,Kweli hatuna uhaba wa CHAKURAHA!!
 
LCD tsh ngapi?..hiyo ela ya kupata smart tv
 
Nahitaj zuria ilo nichek 0658936439 kama unaliuza
 
Wakuu meza ya kioo imeshaondoka
 
Nami naomba uwe boyfriend wangu. Ntakupetipeti mpaka sura yako itaka sawa. Pia hutukuwa surual utakua shirt.

Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
Ahsante baby pia nakuahidi nitakupa chochote unachotaka. ..Tena kuna kiwanja cha urithi nataka kuachiwa na babu,nakuahidi nitakupa choote bby titty
 
We Jamaa bana tia vitu vyako kwenye treni... Wanasafirisha bei rais na vinafika salama
 
Mkuu karibu kwa vitu vingine sofa na dinning table
 
Back
Top Bottom