Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unayosema bei hyo ni inchi 32,co 43hiyo Tv dukani mpya unapata kwa laki 6 na nusu.laki 5 cash nikupe
Usibishe vitu usivyovijua mkuu kwanza Tv ni inchi 42 sio 43.nina duka la michezo nimeshanunua Tv 5 kwa bei hiyo na nimeanza kununua zingine nafungua duka Mazizini ukongaUnayosema bei hyo ni inchi 32,co 43
Haitakua Samsung hzo zako labda simsang uliza vzr,,,Ila pia inawezekana jinsi unavyozipata sishangaiUsibishe vitu usivyovijua mkuu kwanza Tv ni inchi 42 sio 43.nina duka la michezo nimeshanunua Tv 5 kwa bei hiyo na nimeanza kununua zingine nafungua duka Mazizini ukonga
Ni Samsung kaka mm nanunua nyingi napewa kwa jumla na jumla yenyewe sio kichwa kichwa utapigwa.nina maduka ya michezoHaitakua Samsung hzo zako labda simsang uliza vzr,,,Ila pia inawezekana jinsi unavyozipata sishangai
We nomaameoa cheki hii picha vizuri![]()
Mkuu sizan WAP unanua???Ni Samsung kaka mm nanunua nyingi napewa kwa jumla na jumla yenyewe sio kichwa kichwa utapigwa.nina maduka ya michezo
Hatubishani mkuu nimekwambia nimeshanunua Tv 5.Na hata hiyo Tv ningenunua nisingeweka nyumbani kwangu natumia Smart.Samsung Smart ndio bei kubwa sio hizoMkuu sizan WAP unanua???
Nielekeze nikanunue, maana TV yangu imezima toka juzi. Nina wasi wasi na mafundi wetu wataniambia circuit imeungua au A cHatubishani mkuu nimekwambia nimeshanunua Tv 5.Na hata hiyo Tv ningenunua nisingeweka nyumbani kwangu natumia Smart.Samsung Smart ndio bei kubwa sio hizo
Mkuu ungetumia kiswahili nafikiri ungeeleweka kuliko hii lugha uliyotumiaUko LA gesi unalo
Kumbe hizi Avatar huwa zinaakisi yaliyo kichwani !!!!!!!!!Niuzie vyote kwa jumla nikupe laki moja.
KUMBE UPO HADI HUKU MKUUFlat screen bila stand utatoa kwa bei gani
Io mbao ya mdizi ni kiboko[emoji3] [emoji3] [emoji3]Humu wengi wanaanza maisha,bei zako ni nzuri sana kwamfano dinning table hiyo ni bei ya kuokota hata kama imetengenezwa kwa mbao za mwembe,mwarobaini au mkorosho achilia mbali mbao za mdizi.
Utapata watu wanaojua thamani ya samani.hapa wengi wanataka kununua kwa ela za boom.