Nina hamu na hiki kitu sana.

Kule kwetu Tarakea mama akijifungua kisusio kwa sana.

Kuna kitu kinaitwa Mlaso. yaani mbuzi anatolewa damu akiwa hai kinatengenezwa kisusio.
Baada ya kugundua wewe ni morombo nimepata hamasa zaidi na wewe kuliko hiyo kitu...tutafutane!
 
Hivi kwanini munamtania mungu namna hii?munakula vile alivyowazuia tu?
Lakini alisema ukizidiwa kula hotchair habari ingine mkuu acha kabisa unakuta mtu anakandia chakula tamu ya mdudu lkn yuko kwa ndoa bado ana michepuko kibao kipi bora sasa acha watu wale nyama tamu
 
Nenda uagize tu maana hamna jinsi.
 
wale wenzangu wapenda hiyo hapo chini naomba tutafutane ijumaaa hii.

kwa wale wasiotumia samahanini wote.

Mmmh! Udenda unanitoka kwa picha hii. Vivian hunishindi mimi kwa hamu ya hiyo kitu ni balaaa......utamu wake c wa nchi hiii
 
Napajua Tarakea ndo maana nimefurah sana
Asante kwa ukaribisho. BTW ni upako wa namna gani? Kuwa wazi bhana
Huwaga nina upako sana na wanawake wa kirombo.....hahahahah! Karibu sana.
 
niliko sijawahi iona kirahis rahis labda kwa vile sio mzoefu sana na sehemu yenyewe.
nakuonea wivu ujue, mimi huwa naipata pale Sarafina Arusha

Pole bestie ila Arusha nasikia nyama choma ya ngombe ni moto wa kuotea mbali. weekend njema Shostito
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…