Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hio inafanyeje kaziInavyoonekana haukuchukua resit halafu kingine hiyo simu nenda kai flash uweke rom mpya ambayo unaweza itumia internationaly nakushauri nenda kwenye maduka makubwa ya simu yanayoaminika mkuu ni kama 20000/= hivi mpaka ifanye kazi JIPANGE
Yaani ni kuwa hiyo simu ilikuwa ipo manufactured itumike kwenye nchi fulani mfano kwenye series za samsung j2 kuna j200f(inatumika saudi arabia tu),j200h(india,china ),j200g(inatumika india,malaysia,indonesia) sasa hapo ni kuwa certificate za hiyo simu zipo restricted kwa nchi fulani ila kama utataka kuitumia kwa nchi tofauti na hizo lazima ukaibadili ceryificate kwa ku ondoa rom iliyopo (android os) ambayo ina certificate za nchi iliyowekewa itumike na ku i wekea rom ambayo ina certificate zinazoiruhusu itumike worldwide NDO MANA NIKASEMA PELEKA KWA MA (IT) WA MADUKA MAKUBWA WAO WATAKUTENGENEZEA WENYEWE NA NI BEI RAHISI TU 15000 HADI 20000 MKUU na itafanya kaziMkuu hio inafanyeje kazi
Kwa dar es salaam Duka Gani litanisaidiaYaani ni kuwa hiyo simu ilikuwa ipo manufactured itumike kwenye nchi fulani mfano kwenye series za samsung j2 kuna j200f(inatumika saudi arabia tu),j200h(india,china ),j200g(inatumika india,malaysia,indonesia) sasa hapo ni kuwa certificate za hiyo simu zipo restricted kwa nchi fulani ila kama utataka kuitumia kwa nchi tofauti na hizo lazima ukaibadili ceryificate kwa ku ondoa rom iliyopo (android os) ambayo ina certificate za nchi iliyowekewa itumike na ku i wekea rom ambayo ina certificate zinazoiruhusu itumike worldwide NDO MANA NIKASEMA PELEKA KWA MA (IT) WA MADUKA MAKUBWA WAO WATAKUTENGENEZEA WENYEWE NA NI BEI RAHISI TU 15000 HADI 20000 MKUU na itafanya kazi
si urudishe dukani uliponunulia?Mkuu ni Galaxy S6 G920P...Rangi Nyeupe ina Shika netwek GSM/WCDMA/CDMA/LTE. ni nyembamba kiasi ina Nchi 5.1 haina week Moja toka ninunue....nikiweka line inadai invalid simcard yaani kama vile line ipo locked kutumika internationaly
Nipoo boss..Hahahaa Boss upoo
mwachie akae nayo kama hataki kukubadilishiaMkuu nimesumbuana na Mhusika mpaka nakata tamaa
hahahah sawa broo. .nimeshaanza kukuhisi mkuu...soon nitaconfirm