Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
shabu au shabaTafuta jiwe la shabu
Maduka wa waarabu au wapemba watakuelejeza jinsi ya kuitumia
Usipopona niite mbwa
Jaribu kubadili location unapotafutia rizk.Wakuu
Nina hili tatizo muda mrefu…. hata nijiloweke kwene jiki bado ngoma iko pale pale.
Nashukuru mungu ni mwanaume ningekua demu nadhan ningeteseka.
vitu ninavoogea
1.Deto ya maji
2.Sabuni ya mikono
3.medicated soap
4.
Mbaya zaidi joto kidogo na sweat…..Kwasababu watz wengi hawako sensitive nikiogea hiyo watu wanaona atleast ila nikikutana na mtu ambae yupo sensitive lazima akimbie. Nguo nikivaa mara moja niinuse huwa naanguka kwa kizungu zungu.
Sasa kuna sehemu tunapiga story kuna demu ana nuka kikwapa.Wana wakasema kuna dawa za mitishamba ukiogea tatizo linaisha kweli!! Je kuna hiyo kitu?
kama ujuavyo watz hawanaga deep info
SHABUshabu au shaba
Hii nayo neno ila daahJaribu kubadili location unapotafutia rizk.
Kama wakaa dsm hamia mbeya utasahau hizo habari za kwapa kunuka na kutoa jasho.
ebu nilitafuteSHABU
hata asitafute jiwe atapata tabu kulisaga anunue unga wa shabu japo ni adimuTafuta jiwe la shabu
Maduka wa waarabu au wapemba watakuelejeza jinsi ya kuitumia
Usipopona niite mbwa
Njoo nikuuzie Deodorant, uje unishukuru huku ndani.Wakuu
Nina hili tatizo muda mrefu…. hata nijiloweke kwene jiki bado ngoma iko pale pale.
Nashukuru mungu ni mwanaume ningekua demu nadhan ningeteseka.
vitu ninavoogea
1.Deto ya maji
2.Sabuni ya mikono
3.medicated soap
4.
Mbaya zaidi joto kidogo na sweat…..Kwasababu watz wengi hawako sensitive nikiogea hiyo watu wanaona atleast ila nikikutana na mtu ambae yupo sensitive lazima akimbie. Nguo nikivaa mara moja niinuse huwa naanguka kwa kizungu zungu.
Sasa kuna sehemu tunapiga story kuna demu ana nuka kikwapa.Wana wakasema kuna dawa za mitishamba ukiogea tatizo linaisha kweli!! Je kuna hiyo kitu?
kama ujuavyo watz hawanaga deep info
sitak doderant nataka njia ya kudumuNjoo nikuuzie Deodorant, uje unishukuru huku ndani.
hamna njia ya kudumuNunua limau kata nusu fanya scrub kila jioni unapoenda kuoga(sugua sehemu ya kwapa)tafuta deodorant zinazozuia jasho
Kunywa maji ya kutosha,tembea na hankchief za cotton zitakusaidia kujikausha unapokua kwenye movement
Ukipata nafasi oga mara mbili kwa siku,ukishindwa badili nguo
Kikwapa na deodorant wapi na wapiNenda pharmacy iliyo karibu yako waambie wakupatie deodorant, utakuja kunishukuru Hapa 🤒😎