Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
Pesa Ngapi ?View attachment 3023570
Jaribu hata hizi, kuna moja inaitwa Dry impact, ukispray zinatoa kama powder hivi. Ni nzuri sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa Ngapi ?View attachment 3023570
Jaribu hata hizi, kuna moja inaitwa Dry impact, ukispray zinatoa kama powder hivi. Ni nzuri sana
Sh.6,000 hadi sh.10,000/=Pesa Ngapi ?
Sawa SawaSh.6,000 hadi sh.10,000/=
Dawa ya jasho kali ni mazoezi haswa aerobics&cardio(gym) na joggingWakuu,
Nina hili tatizo muda mrefu hata nijiloweke kwene jiki bado ngoma iko pale pale.
Nashukuru Mungu ni mwanaume ningekua Mwanamke nadhan ningeteseka zaidi.
vitu ninavoogea
1. Deto ya maji
2. Sabuni ya mikono
3. Medicated soap
Mbaya zaidi joto kidogo na sweat kwa sababu watz wengi hawako sensitive nikiogea hiyo watu wanaona atleast ila nikikutana na mtu ambae yupo sensitive lazima akimbie. Nguo nikivaa mara moja niinuse huwa naanguka kwa kizungu zungu.
Sasa kuna sehemu tunapiga story kuna demu ana nuka kikwapa.Wana wakasema kuna dawa za mitishamba ukiogea tatizo linaisha kweli!! Je kuna hiyo kitu?
Kama ujuavyo Watanzania hawanaga deep info
Tatua tatizo moja pata jingine. Mafua hayatamuisha kwa hilo jiweTafuta jiwe la shabu
Maduka wa waarabu au wapemba watakuelejeza jinsi ya kuitumia
Usipopona niite mbwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahKuna vibinti nimepishana navyo dukani uwiiiiiii lile sio jasho ni kiama...
Sio kweli!Tatua tatizo moja pata jingine. Mafua hayatamuisha kwa hilo jiwe
Heard from friends, never found myself in such a situation hata nikae siku mbili bila kuoga. Mungu ni mwema kwa upande wanguSio kweli!
Ulitumia ukawa unapata mafua?
Sio kweli! Wengi wametumia nimewaona hawapati mafua! Kwanza jiwe halina hata harufuHeard from friends, never found myself in such a situation hata nikae siku mbili bila kuoga. Mungu ni mwema kwa upande wangu
Ila congratulations, seems umexperience mambo mengi in life kwa umri ambao upo nao sasa. KudosSio kweli! Wengi wametumia nimewaona hawapati mafua! Kwanza jiwe halina hata harufu
Kawaida tu!Ila congratulations, seems umexperience mambo mengi in life kwa umri ambao upo nao sasa. Kudos
Kumbe una mambo mazito hivi!! Na mimi unitafutie dawa ya kuondoa mvi ili nionekane kijana. Sitaki kuzeeka mimi! 😩Tafuta jiwe la shabu
Maduka wa waarabu au wapemba watakuelejeza jinsi ya kuitumia
Usipopona niite mbwa
Kutoa m'vi haitokusaidia, umeshazeeka kubali hiloKumbe una mambo mazito hivi!! Na mimi unitafutie dawa ya kuondoa mvi ili nionekane kijana. Sitaki kuzeeka mimi! 😩