Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
- #81
asanteTECHNOPHILIC AI Sentinel pole sana kwa changamoto inayokukabili. Njoo PM nikuelekeze dawa ya kutumia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asanteTECHNOPHILIC AI Sentinel pole sana kwa changamoto inayokukabili. Njoo PM nikuelekeze dawa ya kutumia.
Kwa siku moja au kila sikuMkuu Kuna njia ya asili niliyofundiswa na bi mkubwa, kama unapika ugari au unapikiwa wakisha songa ugari yale maji wanayoweka kwenye sufuria iliyosongewa yachuje na kitamba au kawaida kisha ukiwa unaiga baada ya kumaliza kuoga kwa hayo makolokolo yako jifute hakikisha umekauka chukuwa maji ya uliyochuja jimwagie ndani ya wiki mbili utakuja kutoa ushuhuda
kvpLitumie kama fursa
Badili aina ya vyakula na vinywaji.Wakuu,
Nina hili tatizo muda mrefu hata nijiloweke kwene jiki bado ngoma iko pale pale.
Nashukuru Mungu ni mwanaume ningekua Mwanamke nadhan ningeteseka zaidi.
vitu ninavoogea
1. Deto ya maji
2. Sabuni ya mikono
3. Medicated soap
Mbaya zaidi joto kidogo na sweat kwa sababu watz wengi hawako sensitive nikiogea hiyo watu wanaona atleast ila nikikutana na mtu ambae yupo sensitive lazima akimbie. Nguo nikivaa mara moja niinuse huwa naanguka kwa kizungu zungu.
Sasa kuna sehemu tunapiga story kuna demu ana nuka kikwapa.Wana wakasema kuna dawa za mitishamba ukiogea tatizo linaisha kweli!! Je kuna hiyo kitu?
Kama ujuavyo Watanzania hawanaga deep info
😂😂😂😂we faiza unaumwa wwBadili aina ya vyakula na vinywaji.
Kama unakula nguruwe, wacha. Kama unakula vibudu au nyama isiyochinjwa, wacha.
Wahenga wa Uingereza walisema "we are what we eat".😂😂😂😂we faiza unaumwa ww
Sema una chuki na kitimoto
Sawa kwan mi nilikwambia nakula kitimotoWahenga wa Uingereza walisema "we are what we eat".
Kwani mimi nilikwambia unakula kitimoto?Sawa kwan mi nilikwambia nakula kitimoto
nanukia nguvu tenaDaah mkuu kwamba unanukia nguvu!!!
umeniambia niache 😂😂anaacha aliyeanzaKwani mimi nilikwambia unakula kitimoto?
nitaitafuta mkuu
Kama uko mkoani. Kama ulishawahi kukata mtu ukakuta maji ndani ya mtu maji hayo yana langi ya kahawa basi yachukue unawe maeneo ambayo unatoa harufu . pia wale wanawake ambao wakibeba mimba huwa inakaa upande BC Fanya hivi hicho kutanda ambacho unalalia jigeuze yani mwanzo kilikuwa kinaangalia mashariki now kiangalie magharib au kama unapikia mafiga yageuze.pia wale wanapenda kuumwa tumbo unapoamka kabla hujala chochote kunywa maji.pia wale ambao huwa wanaumwa matosi mdomoni chukua kiatu chako kiweke maji unywe au ukiamka asubuhi toka nje Asama mdomo kuelekea jua kinapochomoza pia wale wanaoumwa ngiri chukua makome ya mwarubaini na magome ya mjohoro changanya chemsha kunywa.pia yule akiyeungua moto ukutaka upone alfu kovu kisiwepo chukua kata nywele zako kidogo akfu ziunguze ule unga mweusi paka kwenye kidonda yani utapona halaka akfu kovu halitakuwepo .kuna mambo mengi ni dawa tena ya kawaida siyo lazima kwenda kwa waganga. Je unajua kwamba kuna mtu ambao upo ukichukua jani lake ukaweka chini ya ulimi kama upo na kesi mahakamani mshitaki wako anashindwa kujieleza yani anashindwa kuongea? Ulishaona kichaa akichezea mti na akachuma majani? BC Yale majani ni yachukue ni dawaWakuu,
Nina hili tatizo muda mrefu hata nijiloweke kwene jiki bado ngoma iko pale pale.
Nashukuru Mungu ni mwanaume ningekua Mwanamke nadhan ningeteseka zaidi.
vitu ninavoogea
1. Deto ya maji
2. Sabuni ya mikono
3. Medicated soap
Mbaya zaidi joto kidogo na sweat kwa sababu watz wengi hawako sensitive nikiogea hiyo watu wanaona atleast ila nikikutana na mtu ambae yupo sensitive lazima akimbie. Nguo nikivaa mara moja niinuse huwa naanguka kwa kizungu zungu.
Sasa kuna sehemu tunapiga story kuna demu ana nuka kikwapa.Wana wakasema kuna dawa za mitishamba ukiogea tatizo linaisha kweli!! Je kuna hiyo kitu?
Kama ujuavyo Watanzania hawanaga deep info
ebu nitazinunuaView attachment 3023570
Jaribu hata hizi, kuna moja inaitwa Dry impact, ukispray zinatoa kama powder hivi. Ni nzuri sana
Chukua ushauri wa ephen!sitak doderant nataka njia ya kudumu
Kaoge mto YORODANIWakuu,
Nina hili tatizo muda mrefu hata nijiloweke kwene jiki bado ngoma iko pale pale.
Nashukuru Mungu ni mwanaume ningekua Mwanamke nadhan ningeteseka zaidi.
vitu ninavoogea
1. Deto ya maji
2. Sabuni ya mikono
3. Medicated soap
Mbaya zaidi joto kidogo na sweat kwa sababu watz wengi hawako sensitive nikiogea hiyo watu wanaona atleast ila nikikutana na mtu ambae yupo sensitive lazima akimbie. Nguo nikivaa mara moja niinuse huwa naanguka kwa kizungu zungu.
Sasa kuna sehemu tunapiga story kuna demu ana nuka kikwapa.Wana wakasema kuna dawa za mitishamba ukiogea tatizo linaisha kweli!! Je kuna hiyo kitu?
Kama ujuavyo Watanzania hawanaga deep info
Shabu Inafanya Naniliu Inakuwa Oya OyaSHABU
Yeah!😂🤸Shabu Inafanya Naniliu Inakuwa Oya Oya
Hapo Temeke Mikoroshini Uswahili Miaka Ya 2001Yeah!😂🤸