Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ushamba, hujui kama zipo deodorant kwa ajili ya kukausha na kukata harufu ya jasho makwapani..????? 🤒 😎Kikwapa na deodorant wapi na wapi
😂😂😂Tafuta jiwe la shabu
Maduka wa waarabu au wapemba watakuelejeza jinsi ya kuitumia
Usipopona niite mbwa
aiseeee ndugu mchangiaji punguza speedKikwapa ni dalili ya nuksi Mwilini
kwa muda ganTumia limau kila siku itakata yenyew
hamna lolote wanakupa njia za muda mfupDaktari Baba Swalehe amekueleza hapa,ni nini hao,..ni vyema ungeenda waona maspecialist wa Ngozi
inatumika kufanyaje na vip madhara yakeShabu...
Kama ndio hiyo ni aluminium sulphate...nilikua naimport zamani!
ukiwa na shida ya figo unakua una harufu kaliLabda una unono hufanyi mazoezi, enda pia upimwe kama figo zako ziko sawa.
asante
sasa madame wangu unataka kunishinda tabia, uitwe mbwa?Tafuta jiwe la shabu
Maduka wa waarabu au wapemba watakuelejeza jinsi ya kuitumia
Usipopona niite mbwa
sasa madame wangu unataka kunishinda tabia, uitwe mbwa?
Tumia deodorant na perfume za maftaWakuu,
Nina hili tatizo muda mrefu hata nijiloweke kwene jiki bado ngoma iko pale pale.
Nashukuru Mungu ni mwanaume ningekua Mwanamke nadhan ningeteseka zaidi.
vitu ninavoogea
1. Deto ya maji
2. Sabuni ya mikono
3. Medicated soap
Mbaya zaidi joto kidogo na sweat kwa sababu watz wengi hawako sensitive nikiogea hiyo watu wanaona atleast ila nikikutana na mtu ambae yupo sensitive lazima akimbie. Nguo nikivaa mara moja niinuse huwa naanguka kwa kizungu zungu.
Sasa kuna sehemu tunapiga story kuna demu ana nuka kikwapa.Wana wakasema kuna dawa za mitishamba ukiogea tatizo linaisha kweli!! Je kuna hiyo kitu?
Kama ujuavyo Watanzania hawanaga deep info