Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Teh teh tehNani atamfunga paka kengele?
Weee hili balaa
Una utani wa ngumi.Ukifanikiwa ulete mrejesho hapa sio wakikunanii ndo upotelee huko huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh tehNani atamfunga paka kengele?
Weee hili balaa
Una utani wa ngumi.Ukifanikiwa ulete mrejesho hapa sio wakikunanii ndo upotelee huko huko
Ahsante kwa nyongeza."Hermaphroditism"
umeelezea vyema
nilitaka kuelezea hili pia
Kajembe naomba nikuulizwe swali wewe ni mtu wa wapii? Kwa nia njema tu.Ungekuwa bikra saw a...
Karibu Mkuu!Ahsante kwa nyongeza.
Basi wewe ni mwanamke.. Hicho kinyama kilichopo Hapo juu kakitoe tu dada yangu..Ndio
Muonekano wako wa nje ni wakike au wa kiume?Naona wengine wananikebehi, jamani sio utani Na nahitaji msaada
Unatafuta wa kukugegeda au wa kumgegeda. Kuwa muwazi zaidi ili wanajamvi wakusaidie.Sijawahi
Wewe wataka unayemtaka awe Na ipi..? Na aitumie ipi koz isije ikawa at last Yale mambo ya "IF YOU DO ME? I DO YOU" nami nipo Arusha but we need a real talk sipo radhi kufanyiwa mambo ya kishenzi?Habarini za jioni wana jamii wenzangu, ni Mara yangu ya kwanza kujiunga hapa, ninatafuta mpenzi Wa kweli, Mimi ni mwanamke mrembo lakini Nina jinsia mbili ya like Na ya kiume, nimeteseka sana kupata mwenza, naomba ambaye yupo tayari ani PM. Umri wangu miaka 30 ninaishi Arusha.nipo serious . asanteni
Habarini za jioni wana jamii wenzangu, ni Mara yangu ya kwanza kujiunga hapa, ninatafuta mpenzi Wa kweli, Mimi ni mwanamke mrembo lakini Nina jinsia mbili ya like Na ya kiume, nimeteseka sana kupata mwenza, naomba ambaye yupo tayari ani PM. Umri wangu miaka 30 ninaishi Arusha.nipo serious . asanteni
Amesema zote ziko active... Hivyo ni suala la kuamua tu kama atatumia mwiko au sefuria.Jinsia ipi watumia kwa ajili ya choo kidogo "mkojo"
Sio kazi rahisi. Ni upasuaji mkubwa huo. Tafiti.Basi wewe ni mwanamke.. Hicho kinyama kilichopo Hapo juu kakitoe tu dada yangu..
Kuna tatizo kwanNtawekaje picha yangu hadharani
HaemaphroditesUkweli ndio huo niliosema Na si vinginevyo
Sio kweli hauna hiyo kitu.
Kimaumbile unapokuwa umezaliwa hivyo unakuwa msiri sana na unamuambia mpenz wako yule anaekupenda na kukujali huku ukitetemeka na hofu ya hali ya juu ukiwa unampa ukweli.
Shemale hawapo hivyo hawana tupu za mbele zote mbili..ila wapo na maumbile ya kike kama vile maziwa, sauti na hormon za kike lakini anakuwa na penis tu upande wa mbele.
Umesema zote 2 zinafanya kazi sio kweli coz Kuna wanawake ambao wanayo ya kiume kwa juu ila ni kijidogo sana kama ya mtoto mdogo ila haifanyi kazi.
Kuna maswali ya wadau hapo juu unayakimbia huja jibu kwa sababu haupo hivyo na huwajui vizuri hao watu ila umeitunga tu story..
hata ukiingia nae ndani kabla hujafanya chochote kwake anakuambia ukweli..una kifua?? Utanitunzia siri?
Acha kudanganya watu. Shemale ni kama msimu kwani sio man made. Wanazaliwa hivo.People mmeanza kuchanganya kati ya Hermaphrodite na Shemale,
Hermaphrodite ni mtu ambae ANAZALIWA na jinsia zote mbili ambazo zinaweza zote kufanya kazi au moja.
Shemale ni MWANAUME ambae amefanya upasuaji na kuwekewa matiti, makalio, nywele, sauti, n.k VYA KIKE ila 'dushe' linabaki vile vile so anaweza kugegedwa na midume au kumgegeda mwanamke.
So huyo dada sio SHEMALE ni HERMAPHRODITE.