Nina kibamia, kinanitesa mpaka sitamani kuishi

Shukrani mkuu umenipa moyo kwa kiwango kikubwa
 
Samahani mkuu naomba ufafanue zaidi hapo kwenye grower na shower
 
Mkuu acha nyeto,fanya mazoezi,kunywa maji ya kutosha,mrudie Mungu wako ,usipende kukaa mwenyewe ndani penda kujichanganya na wenzako,kama una video za uchi,picha,futa zote mwisho kabisa tafuta mwanamke mmoja uondoe upweke.
 
Fuatilia vizuri kabisa ishu ya penis pump, hazina shida unless mtu asifuate ushauri wa matumizi yake ..
Mzee shida ipo, hapo ni kwamba una force damu kweny mishipa ya uume kwa kutumia pump(hii inatokana na mechanism ya erection kwamba penis ina erect damu nyingi zikiingua kwenye misuli yake)
Sasa mzee unapoforce damu nyingi kweny mishipa kwa kutumia pump unaweza uka-rupture small blood vessels, na hata zile big vessels unazifanya ziwe fatigued(elasticity ya zile blood vessel walls inapungua kwa kuilazimisha kila mara kupitisha damu nyingi ili uume wako uwe mkubwa) hii mbaya kwa sababu kadri utakavozidi kutumia itabidi uwe unaongeza presha kwa sababu previous pressure ishatanua mishipa kwa kiasi fulani. Utakuja kuwa addicted na hii pump, uume utachoka, mishipa ya uume itachoka, itabidi kila ukitaka usimamishe inabidi utumie hio pump, sijui umenielewa??

Ila hio ni medical advice tuu broo, ukitaka tumia street advice
 
Hakuna uume mdogo,Ni jinsi ya kuutumia tu.
Kumbuka sehemu za mwanamke anazosikia utamu Ni huku juu juu. Ukiweza katerero mbona watakutafuta wakununulie nyama choma na bia.
Lkn pia kumridhisha mwanamke sio lazima utumbukize uume, hiyo Ni pale mwisho unapotaka kumwaga mafuta. Vitu vya kutumia kumsisimua mwanamke hasa kwenye kisimbusi Ni vingi Kama vile , vidole, ulimi na mwisho uume.
Huna tatizo dogo Anza kuwasaka uwatie adabu.
 
Kumbe hii 5.8 inch yangu mama chanja huwa ananidanganya kuwa inamuumiza. Mkuu 5.6 inch ni average penis size. Kuita hiyo size kibamia sio sawa labda kama unafananisha na za wacheza porno.
Mkuu hivi hizo inch 5.6 ni urefu gani yaani ni rula ngapi maana wengine tumesomaa HKL hatuelewi chochote... Hebu sema chochote maana wengine ni vibamia hatujijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…