Nina kijana mdogo ameathirika naishi nae, anagegeda sana vibinti vya watu, nimsaidiaje?



Kwa hiyo nikigegedana na mtu aliyeathirika na anatumia ARV na mimi ni mzima cjaambukizwa sipati virusi..??? Ukiachana na kinga(ndomu). Ni swali kutoka kwenye maelezo yako hapo juu..!!
 

Waafrika wengi hasa watanzania, tunafikiri ukali ndo suluhisho... Ukali haumzuii kugegeda bado na kuwasambazia wengine.. Kazi kubwa anayotakiwa kufanya ni kutreat psychology ya huyo dogo...!! Mara ngapi wazazi wenu walikuwaga wakali lkn bado mlikua watukutu..??
 
zamani watu wazima walikuwa nakimbilia vibinti vidogo wakiza viko salama..kwa sasa ndio hatari zaidi..vijana wengi waliozaliwa miaka ya elfu2 wamezaliwa nao..kuna binti hapa mtaani pia alizaliwa nao cha kushangaza ana mpenzi tena kijana mwenzake...nihatari sana sana..niwakati wa serikali kutoa elimu mashuleni ili kunusuru vijana hawa
 
Huyo kijana kwa sasa yuko wapi?
 
Ko unataka agegedwee yeye? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo nimuuwaji....piga sindano ya sumu kuokoa kundi kubwa la vijana,mfanye mbuzi wakafara ili kundi kubwa la.mbuzi liweze kuokokaa.hana maana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…