Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole kwa uliyopitia.Sawa
Mkuu naona kama una hisia Kali (emotion) juu ya jinsi ulivyoumizwa na yaliyopita...Pole ndio uandishi wangu mkuu. Labda ndio athari zenyewe hizi.
Mambo yao tuwaachie wao wenyewe.Kuna mambo yanasikitisha sana...
Hili ni fundisho kwa wazazi haswa wenye watoto handsome na mabonge kuweka ulinzi wa ziada kwa hawa madogo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila watu nyie khaaaah.Pole kwa uliyopitia.
Kwa maelezo yako inaonesha kama vile ulikuwa na mwili teketeke enzi hizo za utoto, jambo lililosababisha wakuda wakutamani mara nyingi.
Hili ni fundisho kwa wazazi haswa wenye watoto handsome na mabonge kuweka ulinzi wa ziada kwa hawa madogo.
Hakika...Mambo yao tuwaachie wao wenyewe.
Kwa kweli halielewekiNimepata taabu sana kuelewa andiko lako ni kama halieleweki flan
Nilijua ni mm tuuNimepata taabu sana kuelewa andiko lako ni kama halieleweki flan