Nina kumbukumbu mbaya ya wanaopenda kulawiti

Samahani mkuu. Kwa minajili yakuweza kushiriki maoni. Nataka kufahamu kuwa hapo utotoni ulifanyiwa majaribio ya kulawitiwa au ulilawiti?

Jibu ndiyo au Hapana bila maelezo ya ziada
 
Pole sana mkuu. Hongera kwa kuchukua hatua thabiti kuzuia ushenzi mtaani kwako.
 
Sijui kama inatokea naturally ila kuna kipindi watoto wanapokua wanacheza pamoja wanaanza kujaribu kufanyiana haya mambo. Isipojulikana na kudhibitiwa au wao kujielewa na kuacha, tabia hii hukua na baadae kuota mizizi.
 
Siungi mkono hii tabia ya mandugu kulala na watoto wadogo,imeshatokea mara moja au mbili kusikia watoto wa kiume wanalawitiwa au hata wale wa kike kutembea na hao ndugu,ulichokisema ni sahihi kabisa mtoa mada,tuchukue tahadhari,haya mambo yapo sana katika jamii yetu sio ya kuyafumbia macho....
 
Andiko limechanganywa Sana uandishi kwaiyo kulifuatilia Hadi mwisho kazi Sana.
 
hii kitu ni mbaya sana...tena sana....wageni wasio na taarifa...nawalaza sevanti kota huko.....binadamu tumekuwa washenzi sana....ila yale ya utotoni....... 😂 😎 .....enzi zetu lazima uwe masta....unamgusisha mwenzio then unakimbia,,,,kaja mpaka home analia bado zamu yangu....dingi anamuuliza zamu yako ya kufanyaje...dogo kasema...aiseeee...uliagizwa mzigo wa fimbo....na yeye kanaswa...wakaitwa kikundi chote....na baadhi ya wazazi.....zile bakora daaaadek.....hatuthubutu kurudia ile kitu...aiseeeeee..tulipigwa kama sio wazazi wetu aiseeee....very bad...nikajua ni kamchezo hatari mno...
 
Planett njoo uone tatizo linapoanzia.

Ndio maana nikakwambia chunga wanao.
Hiyo mirangi inawatoa kwenye reli ili mzidi kuikuza kwa kuiongelea na mwisho ionekane ni kawaida tu.
 
Planett njoo uone tatizo linapoanzia.

Ndio maana nikakwambia chunga wanao.
Hiyo mirangi inawatoa kwenye reli ili mzidi kuikuza kwa kuiongelea na mwisho ionekane ni kawaida tu.
Na pia kitu kingine mkuu jaribu kutofautisha kati ya

(1) watu wazima kulawiti watoto
(2)watoto kulawitiana wao kwa wao ---- jiulize wanajifunza wapi?
(3)watu wazima wenye akili timamu kufanyiana wao kwa wao ilhali utotoni hawakua hivyo na bila mmoja kumlazimisha mwingine (kwa hiyari)--- pia jiulize wanajifunza wapi?
 
Kwa mwandiko huu Pasina shaka ulipakuliwa na watu wakashiba kuanzia malishoni hadi shuleni Hamna hamna na ukubwani pia
 
Aisee labda mtaani hujawahi kukutana na mapunga, hata wao tu husema wameharibiwa utotoni, sasa kwa sasa mtu labda ana 25 yrs huyo utoto wake si ulikua miaka ya 2000!?

Haya hiyo miaka ndgu yangu hizi tv zilikua ngapi mitaani?? Mitandao ya kijamii haikuwepo. Kwahiyo hawa kuna watu waliwafunza na sio kua ni media.

Hao watu wazima wanainamishana kwa hiyari wengi ni wapenda starehe za burebure, wenginr picha za ngono zimewaharibu.
 
Mkuu pole sana. Kwa uandishi wako tu inaonekana umefanyiwa sana vitendo hivi vya ukatili wa kingono. Ila ungeweka wazi zaidi ingesaidia sana tofauti na unavyogusia tukio na kuishia njiani
 
Mkuu pole sana. Kwa uandishi wako tu inaonekana umefanyiwa sana vitendo hivi vya ukatili wa kingono. Ila ungeweka wazi zaidi ingesaidia sana tofauti na unavyogusia tukio na kuishia njiani
Watu mna matatizo sana,yani hapa wengine wanajifanya story haileweki,wengine ooh uandishi wako mbovu,wengine ohh weka wazi,wanachotaka hapa jamaa atiririke kuwa na yeye alifanyiwa na ilikuaje kuaje,dah kweli JF ni hatari sana,watu utafikiri wema kumbe wanataka ajiachie waanze maneno mengine,acha tu ilivyo mkuu umeeleweka...
 
[emoji848][emoji848][emoji848] huu uandishi huu wa kugusia tukio na kuliacha njiani unatia mashaka mno huenda mtoa mada ni kwamba......aaah au bas [emoji27][emoji27]
 
Aiseee, nimecheka kama mazuri
 
Hii mambo inawala watoto wetu kiasi kwamba uwezi laumu ikiona ila suala linaanzia kwenye Malezi hapo ndo shida.. Mungu atuwezeshe tuwalee watoto katika njia impasayo yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…