Nina mashaka huyu mtoto si wangu, ushauri wako wa muhimu mwana MMU!

Hivi unatombaje dunia hii bila kondomu?

Like really?
 
Mwanamke Huwa haonewi huruma Kwa sababu yeye hi huchukulia mwanaume mwenye huruma dhidi yake kuwa ni dhaifu kwake , mtendee wema lakini usimuonee huruma utakuja kujuta zaidi ya hapo
 
kwamba manzi akatembea na biti
 
Aiseee

Uyo mwanamke ni mjanja kuwa nae makini

Lakini pia zungumza nae kwa utaratibu atakueleza yote

Ila Kwa kisa chako Nina mashaka kama uyo ni mwanao.

Pia wew jamaa inaonekana Una huruma na ustarabu sna.
Haya mambo magumu sana,tuwalee tuu.
 
Mi watu huwa nawaona mafala DNA ipo kwenye kiganja cha mkono mtoto wako lazima mfanane na kamwe hawezi kufanana na mama yake
 
Mi watu huwa nawaona mafala DNA ipo kwenye kiganja cha mkono mtoto wako lazima mfanane na kamwe hawezi kufanana na mama yake
Fafanua hii kk tupate darasa na sisi wajinga maana saivi ukizubaa umeibiwa unaambia kafanana na babu yke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…