Nina mashaka huyu mtoto si wangu, ushauri wako wa muhimu mwana MMU!

Nina mashaka huyu mtoto si wangu, ushauri wako wa muhimu mwana MMU!

hapana mwanaume, makosa yapo na duniani kuna kujisahihisha, hii pengine imesababishwa na makuzi yangu, so ilivyotokea nilihisi dogo anaweza kuja kuishi maisha kama yangu mimi!!
Katika maisha epuka kujuta na wala usipambanie mwanamke wala usitake kumhurumia waache wasaidiane wenyewe kujipa mzigo ambao hujapewa umefeli, makuzi yako yasiamue maisha yako kama uliishi kwa tabu huko zamani fanya ibaki history tu kwa walio fahamu
 
Usichokijua kuhusu wanawake ni kuwa "wanawake hawapendi kuonewa huruma"
1. Mtu ameenda kijijini ana mimba, hajakutafuta
2. Amejifungua, sidhani km ulimpa mtoto jina. Hajakutafuta
3. Ameolewa Kenya. Hajakutafuta
4. Amerudi mtaa uliopo. Hajakutafuta
5. Wewe ndiyo umelazimisha, narudia tena umelazimisha, narudia tena umelazimisha kumuona mtoto na alikubali kwa shingo upande.
Huyo mwanamke hana mapenzi na 100%. Wewe ndiyo unajipendekeza
kamaliza mjadala, haina haja ya DNA, Mtoto angekuwa wako kweli
1.Asingeacha kukutafuta hata simu iibiwe, namba yako ingekuwa kichwani kwake.
2. Asingeenda kuolewa kwengine wakati wewe hukumkataa

Na amerudi ameona aibu kukutafuta kwasababu anajua amezingua, sema marafiki zake watakuwa wamemshauri aache upuuzi atulie na wewe, ila atakuumiza akili kwasababu hajakupenda, hana nia ya kukupenda.
 
Shida ya sisi wanaume wa siku hizi tumejawa na huruma sana kuliko wanawake wenyewe.
Mwanamke anayekupenda anakusikiliza na kukuheshimu.
Mtu anaenda kwao, hakutafuti anaenda Kenya anaolewa na anakuja mtaani hapo hakutafuti. Wewe ndiyo unangaika kumtafuta. Huyo mtoto siyo wako 100%.
''Acha kuwa na huruma na wanawake, fanya mambo yako''
Naked truth
 
Ulishobokea mimba isiyo yako,unalazimisha mtoto awe wako,bint matendo yake 100% yanaonesha mtoto Sio wako,naye analijua Hilo anakuona bwg,acha nae endelea na Mishe zako,kosa ulilifany skuile ulipo mwambia boss wake kua inawezekn mimba ni yako ilhal hukutajwa[emoji23][emoji23] umenichekesha,amka Sasa acha hizo.
Kanishangaza sana [emoji28]
 
Back
Top Bottom