Nina mashaka huyu mtoto si wangu, ushauri wako wa muhimu mwana MMU!

Nina mashaka huyu mtoto si wangu, ushauri wako wa muhimu mwana MMU!

Kwani alivopotea nduvu uliendelea kutoa matumizi? Si alienda na maisha yake?

Kwa mtazamo wangu, nahisi ulimtafuta kwa ajili ya shauku ya mtoto maana inawezekana hujapata mtoto. Kukosea kupo.

Lakini angekua wako hata alipokuja mwanza we ndo ungekua wa kwanza kutafutwa.

Huyo binti nadhani ni mjaluo . (Wajaluo mtanisamehe, sio wote mko hivi), nmefanya kazi ujaluoni, wana necha moja, manzi anaeza kuolewa hata mara mia, na kila atakapoenda haachi mtoto. Kule kwao ukioa mwanamke unaoa na watoto wake wooote alionao.

So hapo haez kukupa mtoto, na ukimuoa just know anaeza kuzaa tena na mtu mwingine na ukabeba mzigo.
Cha kufanya, tafuta mawasiliano na hospitali za kenya, then jua sample wanayohitaji kuhusu d.n.a, then itafute uende ukapime. Kwa huko unaeza kua na uhakika na majibu
Sio kweli
 
Shida ya sisi wanaume wa siku hizi tumejawa na huruma sana kuliko wanawake wenyewe.
Mwanamke anayekupenda anakusikiliza na kukuheshimu.
Mtu anaenda kwao, hakutafuti anaenda Kenya anaolewa na anakuja mtaani hapo hakutafuti. Wewe ndiyo unangaika kumtafuta. Huyo mtoto siyo wako 100%.
''Acha kuwa na huruma na wanawake, fanya mambo yako''
Gharama ya DNA ni sh. ngapi, hakuna taratibu za kufuata?
 
Assalam mwana MMU, pole na majukumu ya kimaisha.

Niende moja kwa moja kwenye mada, mwaka 2015 baada ya kuhitimu elimu nilanza harakati zangu kitaa, nilitoka mkoa niliokulia na kuja kanda ya ziwa Mwanza.

Maisha ya kuwa mwenyewe, sijaoa, nikajikuta nakula kwa mama mmoja alikua na sehemu ya kuuzia chakula jirani na napoishi.

Miezi kadhaa baada ya kuzoeleka pale alikuja binti pale mfanyakazi, alikua mchangamfu sana, akawa ndie mtoa huduma kwetu.

Kitabia mimi si mtu wa kufahamiana na watu haraka sana, lakini kwa ule uchangamfu nikakuta nishazoeana nae. Hakuwa binti mkubwa sana kiumri, hata 20 kipindi hicho alikua hajafikisha bado.

Kuna kipindi nilianza kuwa nabanwa sana na majukumu, narudi nyumbani usiku sana, nikapunguza kwenda pale kula, siku moja nikakutana na yule mama, akanishauri kama nimebanana sana wale mabinti watakuwa wanakuletea chakula nyumbani, niliafikiana nae na chakula kikawa kweli kinaletwa nyumbani.

Tatizo lilianzia hapa, kwani mazoea ya yule binti yalizidi sana, japo nikiri sikuwahi kumtamkia swala lolote la kuwa mpenzi, kuna siku nilikua sijatoka nafanya usafi nyumbani, mida ya jioni, ghafla binti akaja na chakula, ilikua mapema sana, alivyofika utani ukaanza mambo mengi, nikajikuta tayari nimesex pasipo kupanga, na ukizingatia ni muda mrefu nimetoka nyumbani ilikua rahisi sana kushawishika (wanaume wanajua).

Wiki kadhaa kupita yule binti aliombwa na yule mama ahame aende kwa mwanae akamsaidie kazi za nyumbani, alivyofika kule akagundulika ni mjamzito!

Kasheshe ilianzia hapa, binti alikataa kata kata kusema, lakini nafsi ilinisuta, ikabidi nimwambie yule mama ukweli, nikamvuta pembeni, nikamweleza, "mama, inawezekana pengine huu ujauzito ni wa kwangu, maana nimewahi sex na huyu binti" mama aliniuliza sasa tunafanyaje? nikamwambia asiutoe nitaulea, kazi ikaanza!

Yule binti kumbe alikuwa mwanafunzi ametoroka kwao, na ameacha shule, kazi nyingine ikawa hapo! japo yule mama alisema tupambane tuu tuone itakapoishia, akampiga mikwara yule binti nae akae kimya asiseme kwa mtu!

Nikawa na hudumia, sasa mabadiliko ya ujauzito, binti akawa anafanya vituko, kuna siku halali nyumbani anasingizia alikua kwangu, kuna kipindi akapoteza vyombo vya watu masufuria makubwa aliyaacha nje usiku yakabebwa ikabidi nilipe, mambo yalienda mpka yule mama akatuchoka ikabidi anishauri nimrudishe kwao!

Basi nikaongea nae uzuri alikubali, nikampa fedha za kutosha nikamsindikiza akaondoka, alivyofika nyumbani tuu, akawa hapatikani tena hewani (anadai alipoteza simu).

Muda ulienda, nimefuatilia sana toka 2016 mpaka nikakata tamaa mwezi huu wa sita 2022 yule mama akanipigia usiku akaniambia yule binti amekuja yupo kitaa, nilijawa na shauku na furaha sana.

Nikamtafuta hatimae tukaonana, tulikaa sehemu, akanihadithia vingi, ikiwepo kupoteza simu, na jinsi alivyojifungua, akaenda Kenya akaolewa, huko akampata mtoto mwingine, wakaachana na huyo mume na sasa ndo amekuja huku Mwanza kunitafuta.

Nilimpa pole nyingi, na nikamuuliza anataka nini kutoka kwangu, akadai anataka TUISHI WOTE, nikamwambia sahivi nina mchumba, na nishamtambulisha nyumbani, nitafanyaje? akatulia, nikamwambia nimtafutie 3milion afungue biashara zake, lakini mtoto anipe akaanze shule.

Ah, nilivyomwambia swala la mtoto kunipa alibadilika, akasema haiwezekani, huyo mtoto ametoka nae mbali, hawezi kunipa alelewe na mama mwingine, kama ninamtaka mtoto tuishi wote yeye na wanae hao wawili sasa!

Muda ulienda nikamwambia aniletee mtoto nimwone kwanza, aligoma, nikamsisitiza sana, mwisho akakubali japo kishingo upande sana, nilianza kupata mashaka hapa!

Mtoto alivyoletwa doh, aisee hata kitu kimoja sijafanana nae, nilijitahid sana kujikaza, nisiulize, akawa kama ameshtuka hivi, akawa anaongea maneno mengi, mara mtoto wako huyu, mnafanana sana nywele sema nimemsuka hutaona, kidogo mwanao huyu ona alivyokuzoea haraka!

Akawa anamwambia mtoto mwite baba, mambo yalikua mengi, nikampiga mtoto picha tukaagana, nilipatwa na hofu sana, nikaona hapa naenda kupigwa, halafu kibaya dogo anafanana sana na kuna jamaa namfahamu!

Dogo hataki kuachiwa na mama yake, hata dakika moja!

Samahani sana kwa urefu wa story, lakini walau nimeamua kutoa matukio ya muhimu, ili niweze kupata ushauri mzuri, nifanyaje??

Natanguliza shukrani!
Wewe ni BWEGE tena BWEGE MPUMBAVU naomba niwie radhi kama nimekukwaza.
 
Mkuu ulikosea kujitambulisha kwa yule mama kwamba uli sexy na huyo binti hivyo hiyo mimba ni yako sababu pale mgahawani wateja ni wengi inawezekana kuna mwamba nae alikuwa anakula mzigo na jambo la mwisho ulichokiana kwa huyo mtoto ni kweli hujakosea chata ya mwamba mwenzio kubali matokeo.
 
Assalam mwana MMU, pole na majukumu ya kimaisha.

Niende moja kwa moja kwenye mada, mwaka 2015 baada ya kuhitimu elimu nilanza harakati zangu kitaa, nilitoka mkoa niliokulia na kuja kanda ya ziwa Mwanza.

Maisha ya kuwa mwenyewe, sijaoa, nikajikuta nakula kwa mama mmoja alikua na sehemu ya kuuzia chakula jirani na napoishi.

Miezi kadhaa baada ya kuzoeleka pale alikuja binti pale mfanyakazi, alikua mchangamfu sana, akawa ndie mtoa huduma kwetu.

Kitabia mimi si mtu wa kufahamiana na watu haraka sana, lakini kwa ule uchangamfu nikakuta nishazoeana nae. Hakuwa binti mkubwa sana kiumri, hata 20 kipindi hicho alikua hajafikisha bado.

Kuna kipindi nilianza kuwa nabanwa sana na majukumu, narudi nyumbani usiku sana, nikapunguza kwenda pale kula, siku moja nikakutana na yule mama, akanishauri kama nimebanana sana wale mabinti watakuwa wanakuletea chakula nyumbani, niliafikiana nae na chakula kikawa kweli kinaletwa nyumbani.

Tatizo lilianzia hapa, kwani mazoea ya yule binti yalizidi sana, japo nikiri sikuwahi kumtamkia swala lolote la kuwa mpenzi, kuna siku nilikua sijatoka nafanya usafi nyumbani, mida ya jioni, ghafla binti akaja na chakula, ilikua mapema sana, alivyofika utani ukaanza mambo mengi, nikajikuta tayari nimesex pasipo kupanga, na ukizingatia ni muda mrefu nimetoka nyumbani ilikua rahisi sana kushawishika (wanaume wanajua).

Wiki kadhaa kupita yule binti aliombwa na yule mama ahame aende kwa mwanae akamsaidie kazi za nyumbani, alivyofika kule akagundulika ni mjamzito!

Kasheshe ilianzia hapa, binti alikataa kata kata kusema, lakini nafsi ilinisuta, ikabidi nimwambie yule mama ukweli, nikamvuta pembeni, nikamweleza, "mama, inawezekana pengine huu ujauzito ni wa kwangu, maana nimewahi sex na huyu binti" mama aliniuliza sasa tunafanyaje? nikamwambia asiutoe nitaulea, kazi ikaanza!

Yule binti kumbe alikuwa mwanafunzi ametoroka kwao, na ameacha shule, kazi nyingine ikawa hapo! japo yule mama alisema tupambane tuu tuone itakapoishia, akampiga mikwara yule binti nae akae kimya asiseme kwa mtu!

Nikawa na hudumia, sasa mabadiliko ya ujauzito, binti akawa anafanya vituko, kuna siku halali nyumbani anasingizia alikua kwangu, kuna kipindi akapoteza vyombo vya watu masufuria makubwa aliyaacha nje usiku yakabebwa ikabidi nilipe, mambo yalienda mpka yule mama akatuchoka ikabidi anishauri nimrudishe kwao!

Basi nikaongea nae uzuri alikubali, nikampa fedha za kutosha nikamsindikiza akaondoka, alivyofika nyumbani tuu, akawa hapatikani tena hewani (anadai alipoteza simu).

Muda ulienda, nimefuatilia sana toka 2016 mpaka nikakata tamaa mwezi huu wa sita 2022 yule mama akanipigia usiku akaniambia yule binti amekuja yupo kitaa, nilijawa na shauku na furaha sana.

Nikamtafuta hatimae tukaonana, tulikaa sehemu, akanihadithia vingi, ikiwepo kupoteza simu, na jinsi alivyojifungua, akaenda Kenya akaolewa, huko akampata mtoto mwingine, wakaachana na huyo mume na sasa ndo amekuja huku Mwanza kunitafuta.

Nilimpa pole nyingi, na nikamuuliza anataka nini kutoka kwangu, akadai anataka TUISHI WOTE, nikamwambia sahivi nina mchumba, na nishamtambulisha nyumbani, nitafanyaje? akatulia, nikamwambia nimtafutie 3milion afungue biashara zake, lakini mtoto anipe akaanze shule.

Ah, nilivyomwambia swala la mtoto kunipa alibadilika, akasema haiwezekani, huyo mtoto ametoka nae mbali, hawezi kunipa alelewe na mama mwingine, kama ninamtaka mtoto tuishi wote yeye na wanae hao wawili sasa!

Muda ulienda nikamwambia aniletee mtoto nimwone kwanza, aligoma, nikamsisitiza sana, mwisho akakubali japo kishingo upande sana, nilianza kupata mashaka hapa!

Mtoto alivyoletwa doh, aisee hata kitu kimoja sijafanana nae, nilijitahid sana kujikaza, nisiulize, akawa kama ameshtuka hivi, akawa anaongea maneno mengi, mara mtoto wako huyu, mnafanana sana nywele sema nimemsuka hutaona, kidogo mwanao huyu ona alivyokuzoea haraka!

Akawa anamwambia mtoto mwite baba, mambo yalikua mengi, nikampiga mtoto picha tukaagana, nilipatwa na hofu sana, nikaona hapa naenda kupigwa, halafu kibaya dogo anafanana sana na kuna jamaa namfahamu!

Dogo hataki kuachiwa na mama yake, hata dakika moja!

Samahani sana kwa urefu wa story, lakini walau nimeamua kutoa matukio ya muhimu, ili niweze kupata ushauri mzuri, nifanyaje??

Natanguliza shukrani!
Achana na hizo mambo ndugu....wewe bdo kijana mdogo,kama angekubali kumuacha ubaki nae ningesema lea mtoto mpe mapenzi ya baba kwa maana amjuae baba wa mtoto ni mama ...alienda alipo toka,akawa amekata mawasiliano na leo hii amerudi kwako lakini amekataa kumuacha toto kwako maana yake wewe ni plan B yake kila akikwama ndio atakutafuta..... jaribu kuuchuna bila kumpigia wala kujulia hali chochote uone kama atajali..... Tulia na ulie nae usilazimishe kumtengenezea stress .... mungu atakusaidia utapata watoto ndugu... Ni hayo tu kutoka kwangu.
 
Assalam mwana MMU, pole na majukumu ya kimaisha.

Niende moja kwa moja kwenye mada, mwaka 2015 baada ya kuhitimu elimu nilanza harakati zangu kitaa, nilitoka mkoa niliokulia na kuja kanda ya ziwa Mwanza.

Maisha ya kuwa mwenyewe, sijaoa, nikajikuta nakula kwa mama mmoja alikua na sehemu ya kuuzia chakula jirani na napoishi.

Miezi kadhaa baada ya kuzoeleka pale alikuja binti pale mfanyakazi, alikua mchangamfu sana, akawa ndie mtoa huduma kwetu.

Kitabia mimi si mtu wa kufahamiana na watu haraka sana, lakini kwa ule uchangamfu nikakuta nishazoeana nae. Hakuwa binti mkubwa sana kiumri, hata 20 kipindi hicho alikua hajafikisha bado.

Kuna kipindi nilianza kuwa nabanwa sana na majukumu, narudi nyumbani usiku sana, nikapunguza kwenda pale kula, siku moja nikakutana na yule mama, akanishauri kama nimebanana sana wale mabinti watakuwa wanakuletea chakula nyumbani, niliafikiana nae na chakula kikawa kweli kinaletwa nyumbani.

Tatizo lilianzia hapa, kwani mazoea ya yule binti yalizidi sana, japo nikiri sikuwahi kumtamkia swala lolote la kuwa mpenzi, kuna siku nilikua sijatoka nafanya usafi nyumbani, mida ya jioni, ghafla binti akaja na chakula, ilikua mapema sana, alivyofika utani ukaanza mambo mengi, nikajikuta tayari nimesex pasipo kupanga, na ukizingatia ni muda mrefu nimetoka nyumbani ilikua rahisi sana kushawishika (wanaume wanajua).

Wiki kadhaa kupita yule binti aliombwa na yule mama ahame aende kwa mwanae akamsaidie kazi za nyumbani, alivyofika kule akagundulika ni mjamzito!

Kasheshe ilianzia hapa, binti alikataa kata kata kusema, lakini nafsi ilinisuta, ikabidi nimwambie yule mama ukweli, nikamvuta pembeni, nikamweleza, "mama, inawezekana pengine huu ujauzito ni wa kwangu, maana nimewahi sex na huyu binti" mama aliniuliza sasa tunafanyaje? nikamwambia asiutoe nitaulea, kazi ikaanza!

Yule binti kumbe alikuwa mwanafunzi ametoroka kwao, na ameacha shule, kazi nyingine ikawa hapo! japo yule mama alisema tupambane tuu tuone itakapoishia, akampiga mikwara yule binti nae akae kimya asiseme kwa mtu!

Nikawa na hudumia, sasa mabadiliko ya ujauzito, binti akawa anafanya vituko, kuna siku halali nyumbani anasingizia alikua kwangu, kuna kipindi akapoteza vyombo vya watu masufuria makubwa aliyaacha nje usiku yakabebwa ikabidi nilipe, mambo yalienda mpka yule mama akatuchoka ikabidi anishauri nimrudishe kwao!

Basi nikaongea nae uzuri alikubali, nikampa fedha za kutosha nikamsindikiza akaondoka, alivyofika nyumbani tuu, akawa hapatikani tena hewani (anadai alipoteza simu).

Muda ulienda, nimefuatilia sana toka 2016 mpaka nikakata tamaa mwezi huu wa sita 2022 yule mama akanipigia usiku akaniambia yule binti amekuja yupo kitaa, nilijawa na shauku na furaha sana.

Nikamtafuta hatimae tukaonana, tulikaa sehemu, akanihadithia vingi, ikiwepo kupoteza simu, na jinsi alivyojifungua, akaenda Kenya akaolewa, huko akampata mtoto mwingine, wakaachana na huyo mume na sasa ndo amekuja huku Mwanza kunitafuta.

Nilimpa pole nyingi, na nikamuuliza anataka nini kutoka kwangu, akadai anataka TUISHI WOTE, nikamwambia sahivi nina mchumba, na nishamtambulisha nyumbani, nitafanyaje? akatulia, nikamwambia nimtafutie 3milion afungue biashara zake, lakini mtoto anipe akaanze shule.

Ah, nilivyomwambia swala la mtoto kunipa alibadilika, akasema haiwezekani, huyo mtoto ametoka nae mbali, hawezi kunipa alelewe na mama mwingine, kama ninamtaka mtoto tuishi wote yeye na wanae hao wawili sasa!

Muda ulienda nikamwambia aniletee mtoto nimwone kwanza, aligoma, nikamsisitiza sana, mwisho akakubali japo kishingo upande sana, nilianza kupata mashaka hapa!

Mtoto alivyoletwa doh, aisee hata kitu kimoja sijafanana nae, nilijitahid sana kujikaza, nisiulize, akawa kama ameshtuka hivi, akawa anaongea maneno mengi, mara mtoto wako huyu, mnafanana sana nywele sema nimemsuka hutaona, kidogo mwanao huyu ona alivyokuzoea haraka!

Akawa anamwambia mtoto mwite baba, mambo yalikua mengi, nikampiga mtoto picha tukaagana, nilipatwa na hofu sana, nikaona hapa naenda kupigwa, halafu kibaya dogo anafanana sana na kuna jamaa namfahamu!

Dogo hataki kuachiwa na mama yake, hata dakika moja!

Samahani sana kwa urefu wa story, lakini walau nimeamua kutoa matukio ya muhimu, ili niweze kupata ushauri mzuri, nifanyaje??

Natanguliza shukrani!
Stuka achana ne
 
Assalam mwana MMU, pole na majukumu ya kimaisha.

Niende moja kwa moja kwenye mada, mwaka 2015 baada ya kuhitimu elimu nilanza harakati zangu kitaa, nilitoka mkoa niliokulia na kuja kanda ya ziwa Mwanza.

Maisha ya kuwa mwenyewe, sijaoa, nikajikuta nakula kwa mama mmoja alikua na sehemu ya kuuzia chakula jirani na napoishi.

Miezi kadhaa baada ya kuzoeleka pale alikuja binti pale mfanyakazi, alikua mchangamfu sana, akawa ndie mtoa huduma kwetu.

Kitabia mimi si mtu wa kufahamiana na watu haraka sana, lakini kwa ule uchangamfu nikakuta nishazoeana nae. Hakuwa binti mkubwa sana kiumri, hata 20 kipindi hicho alikua hajafikisha bado.

Kuna kipindi nilianza kuwa nabanwa sana na majukumu, narudi nyumbani usiku sana, nikapunguza kwenda pale kula, siku moja nikakutana na yule mama, akanishauri kama nimebanana sana wale mabinti watakuwa wanakuletea chakula nyumbani, niliafikiana nae na chakula kikawa kweli kinaletwa nyumbani.

Tatizo lilianzia hapa, kwani mazoea ya yule binti yalizidi sana, japo nikiri sikuwahi kumtamkia swala lolote la kuwa mpenzi, kuna siku nilikua sijatoka nafanya usafi nyumbani, mida ya jioni, ghafla binti akaja na chakula, ilikua mapema sana, alivyofika utani ukaanza mambo mengi, nikajikuta tayari nimesex pasipo kupanga, na ukizingatia ni muda mrefu nimetoka nyumbani ilikua rahisi sana kushawishika (wanaume wanajua).

Wiki kadhaa kupita yule binti aliombwa na yule mama ahame aende kwa mwanae akamsaidie kazi za nyumbani, alivyofika kule akagundulika ni mjamzito!

Kasheshe ilianzia hapa, binti alikataa kata kata kusema, lakini nafsi ilinisuta, ikabidi nimwambie yule mama ukweli, nikamvuta pembeni, nikamweleza, "mama, inawezekana pengine huu ujauzito ni wa kwangu, maana nimewahi sex na huyu binti" mama aliniuliza sasa tunafanyaje? nikamwambia asiutoe nitaulea, kazi ikaanza!

Yule binti kumbe alikuwa mwanafunzi ametoroka kwao, na ameacha shule, kazi nyingine ikawa hapo! japo yule mama alisema tupambane tuu tuone itakapoishia, akampiga mikwara yule binti nae akae kimya asiseme kwa mtu!

Nikawa na hudumia, sasa mabadiliko ya ujauzito, binti akawa anafanya vituko, kuna siku halali nyumbani anasingizia alikua kwangu, kuna kipindi akapoteza vyombo vya watu masufuria makubwa aliyaacha nje usiku yakabebwa ikabidi nilipe, mambo yalienda mpka yule mama akatuchoka ikabidi anishauri nimrudishe kwao!

Basi nikaongea nae uzuri alikubali, nikampa fedha za kutosha nikamsindikiza akaondoka, alivyofika nyumbani tuu, akawa hapatikani tena hewani (anadai alipoteza simu).

Muda ulienda, nimefuatilia sana toka 2016 mpaka nikakata tamaa mwezi huu wa sita 2022 yule mama akanipigia usiku akaniambia yule binti amekuja yupo kitaa, nilijawa na shauku na furaha sana.

Nikamtafuta hatimae tukaonana, tulikaa sehemu, akanihadithia vingi, ikiwepo kupoteza simu, na jinsi alivyojifungua, akaenda Kenya akaolewa, huko akampata mtoto mwingine, wakaachana na huyo mume na sasa ndo amekuja huku Mwanza kunitafuta.

Nilimpa pole nyingi, na nikamuuliza anataka nini kutoka kwangu, akadai anataka TUISHI WOTE, nikamwambia sahivi nina mchumba, na nishamtambulisha nyumbani, nitafanyaje? akatulia, nikamwambia nimtafutie 3milion afungue biashara zake, lakini mtoto anipe akaanze shule.

Ah, nilivyomwambia swala la mtoto kunipa alibadilika, akasema haiwezekani, huyo mtoto ametoka nae mbali, hawezi kunipa alelewe na mama mwingine, kama ninamtaka mtoto tuishi wote yeye na wanae hao wawili sasa!

Muda ulienda nikamwambia aniletee mtoto nimwone kwanza, aligoma, nikamsisitiza sana, mwisho akakubali japo kishingo upande sana, nilianza kupata mashaka hapa!

Mtoto alivyoletwa doh, aisee hata kitu kimoja sijafanana nae, nilijitahid sana kujikaza, nisiulize, akawa kama ameshtuka hivi, akawa anaongea maneno mengi, mara mtoto wako huyu, mnafanana sana nywele sema nimemsuka hutaona, kidogo mwanao huyu ona alivyokuzoea haraka!

Akawa anamwambia mtoto mwite baba, mambo yalikua mengi, nikampiga mtoto picha tukaagana, nilipatwa na hofu sana, nikaona hapa naenda kupigwa, halafu kibaya dogo anafanana sana na kuna jamaa namfahamu!

Dogo hataki kuachiwa na mama yake, hata dakika moja!

Samahani sana kwa urefu wa story, lakini walau nimeamua kutoa matukio ya muhimu, ili niweze kupata ushauri mzuri, nifanyaje??

Natanguliza shukrani!
Ulishobokea mimba isiyo yako,unalazimisha mtoto awe wako,bint matendo yake 100% yanaonesha mtoto Sio wako,naye analijua Hilo anakuona bwg,acha nae endelea na Mishe zako,kosa ulilifany skuile ulipo mwambia boss wake kua inawezekn mimba ni yako ilhal hukutajwa[emoji23][emoji23] umenichekesha,amka Sasa acha hizo.
 
pole sana maana kama umeona anafanana na jamaa flani bhasi nae aliwekaa yani sema hakuropoka kama wewe mwanaume ukiambiwa na manzi ana mimba yako kataaa kwanza sio unakubali kiboya tuuu.. Pole ila kaza moyoo mwambie ukweli uwe huru
 
Wewe ni BWEGE tena BWEGE MPUMBAVU naomba niwie radhi kama nimekukwaza.
hapana mwanaume, makosa yapo na duniani kuna kujisahihisha, hii pengine imesababishwa na makuzi yangu, so ilivyotokea nilihisi dogo anaweza kuja kuishi maisha kama yangu mimi!!
 
Mpeleke mtoto maabara jifanye unaenda kucheki afya ya mtoto na huyo mama wa mtoto....mkifika muombe mhudumu afanye( blood grouping) ya kwako mama na mtoto...group la damu lazima lifanane na la baba vinginevyo umepigwa....huo ni mwanzo tu
Mmmh hivi we jamaa umesoma vizuri kweli kuhusu ABO inheritance? Eti ni lazima group litoke kwa baba[emoji1787][emoji1787]
 
Shida ya sisi wanaume wa siku hizi tumejawa na huruma sana kuliko wanawake wenyewe.
Mwanamke anayekupenda anakusikiliza na kukuheshimu.
Mtu anaenda kwao, hakutafuti anaenda Kenya anaolewa na anakuja mtaani hapo hakutafuti. Wewe ndiyo unangaika kumtafuta. Huyo mtoto siyo wako 100%.
''Acha kuwa na huruma na wanawake, fanya mambo yako''
Jibu la kiume sana hili. Safi kabisa
 
Usichokijua kuhusu wanawake ni kuwa "wanawake hawapendi kuonewa huruma"
1. Mtu ameenda kijijini ana mimba, hajakutafuta
2. Amejifungua, sidhani km ulimpa mtoto jina. Hajakutafuta
3. Ameolewa Kenya. Hajakutafuta
4. Amerudi mtaa uliopo. Hajakutafuta
5. Wewe ndiyo umelazimisha, narudia tena umelazimisha, narudia tena umelazimisha kumuona mtoto na alikubali kwa shingo upande.
Huyo mwanamke hana mapenzi na 100%. Wewe ndiyo unajipendekeza
hapana mwanaume, makosa yapo na duniani kuna kujisahihisha, hii pengine imesababishwa na makuzi yangu, so ilivyotokea nilihisi dogo anaweza kuja kuishi maisha kama yangu mimi!!
 
Back
Top Bottom