Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

Pamoja na mapungufu yake, JPM alikuwa ana uwezo wa kumiliki maamuzi yake katika kila jambo. Hili lilimfanya ajiamini na kusimamia mawazo/maamuzi yake hata kama yalipingwa na ulimwengu mzima.

Sasa kwa mama yetu ni kama vile haamini bado kuwa yeye ndie raisi, ni kama vile hajui nguvu aliyokuwa nayo na mbaya zaidi ni wazi kaweka bayana kwa washauri wake kuwa hana dira. Hili linawapa nguvu wasaidizi wake kufanya maamuzi bila kumshirikisha ipaswavyo ama kupindisha uhalisia hasa wa athari ya maamuzi hayo. Hii inamgharimu mama pale athari inapokuwa hasi, inabidi kutoa kauli kutuliza jazba ambapo in reality linafikirisha juu ya alikuwa wapi mambo yakiamuliwa.

Japo kuna baadhi ya watu watapinga kwa vile wamampenda mama, ila ni wazi mama hajui anakokwenda, hana dira na hana kauli katika maamuzi yake.

Mama amekuwa mithili ya mtoto ambae kanunuliwa vitu vya kuchezea na kupangiwa leo utachezea hiki na kesho kile. Ni kwamba anamiliki vitu hivyo lakini hana mamlaka navyo mpaka mzazi aongee.
 
Pamoja na mapungufu yake, JPM alikuwa ana uwezo wa kumiliki maamuzi yake katika kila jambo. Hili lilimfanya ajiamini na kusimamia mawazo/maamuzi yake hata kama yalipingwa na ulimwengu mzima.

Sasa kwa mama yetu ni kama vile haamini bado kuwa yeye ndie raisi, ni kama vile hajui nguvu aliyokuwa nayo na mbaya zaidi ni wazi kaweka bayana kwa washauri wake kuwa hana dira. Hili linawapa nguvu wasaidizi wake kufanya maamuzi bila kumshirikisha ipaswavyo ama kupindisha uhalisia hasa wa athari ya maamuzi hayo. Hii inamgharimu mama pale athari inapakuwa hasi, inabidi kutoa kauli kutuliza jazba ambapo in reality linafikirisha juu ya alikuwa wapi mambo yakiamuliwa.

Japo kuna baadhi ya watu watapinga kwa vile wamampenda mama, ila ni wazi mama hajui anakokwenda, hana dira na hana kauli katika maamuzi yake.

Mama amekuwa mithili ya mtoto ambae kanunuliwa vitu vya kuchezea na kupangiwa leo utachezea hiki na kesho kile. Ni kwamba anamiliki vitu hivyo lakini hana mamlaka navyo mpaka mzazi aongee.
Mama amekuwa mithili ya mtoto ambae kanunuliwa vitu vya kuchezea na kupangiwa leo utachezea hiki na kesho kile. Ni kwamba anamiliki vitu hivyo lakini hana mamlaka navyo mpaka mzazi aongee.[emoji3064][emoji38][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]
 
Hapa ndipo ninapoona hitaji la katiba mpya.. Leo nimeambiwa tozo kwenye mabenki zimeanza rasmi[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji2827]
Nyerere alitukosea sana.

Kwa kipindi hiki ni ngumu kuipata, watu lazima walinde maslahi yao.

Wafaidika wakubwa wa katiba hii ndo hao tunaotegemea watuletee katiba mpya hali inayopelekea mchakato wake kuwa ngumu
 
Mama amekuwa mithili ya mtoto ambae kanunuliwa vitu vya kuchezea na kupangiwa leo utachezea hiki na kesho kile. Ni kwamba anamiliki vitu hivyo lakini hana mamlaka navyo mpaka mzazi aongee.[emoji3064][emoji38][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]
ohoooo !!
 
Mkuu nchi iko mikononi mwa kikundi kinachoitwa Axis of Evil na Kiongozi wao ni gaidi Mwigulu Nchemba kwenye kundi hilo yuko Majaliwa, Ndugai, Mpango, Msigwa, Diwani wa TISS, Ndugulile. Hawa watu ni watu hatari sana na sijui nchi itakuwa mikononi mwa hawa kwa kipindi gani.
Hitaji la Katiba Mpya mwangwi wake unazidi kusikika kuliko wakati mwingine wowote.

Kwa nje tu hivi ni kama kila kitu kinaenda sawa lakini kuna hali fulani ya taharuki ya kimya na sintofahamu kubwa ndani yake.

Ni kama kuna mambo yanapangwa huko halafu yanaletwa upenuni bila hata kueleweshwa vema
Kiongozi mkuu ni kama kawekewa mipaka mingi na kutengwa na hadhira.

Anahangaishwa huko na huko na kuwekwa busy kwa mambo ambayo yalistahili kufanywa na wasaidizi wake.

Kuna hofu fulani miongoni mwetu. Kuna uoga umewashika watu ni kama vile kuna jinamizi kubwa lisiloonekana linatuchungulia na kutufuatilia na kutusikiliza

Si kama nchi iko kwenye auto mode la hasha. Bali kuna kikundi cha wachache ndani ya mfumo pengine ndio kimeyateka mamlaka!
Watu hawasikiki lakini wapo
Watu hawaonekani lakini vitendo vyao unaviona!
Tunanyukwa kimyakimya!

Hii hali haina afya kwa taifa na haipaswi kuendelea kwa muda mrefu... Hawa wanaozungukana huko ndani hawana nia njema na taifa hili...sinema si kwamba zimeisha bali zinaandaliwa zingine kutuweka busy tena tuyasahau haya...!!!

Kama hizi hisia zangu ni kinyume na uhalisia basi napaswa kuonana na tabibu haraka! Ila kama si kinyume...MUNGU TUSAIDIE
 
Mkuu umenena kweli tupu, nilikuwa nawaza Sana Nani ndo rais kwasasa sielewi, Samia Hana Kazi yoyote ambayo inaonekana kufanywa na rais wa nchi.

Haongozi chochote, hatoi maelekezo, yupo njiani Kila siku, Mpango ndo sijui kapangwa wapi, WK nae anajitutumua bila maboss wake kusikika.

Kabaki anasikika gwajima tu.

Sijui mabeyo anatusikia?
 
Tywin Lannister:
You're a fool if you believe he's the most powerful man in Westeros.

Tyrion Lannister:
[sarcastically] A treasonous statement! Joffrey is king.

Tywin Lannister:
You really think a crown gives you power?

Je umeelewa nini kwenye majibizano haya???
 
Mkuu umenena kweli tupu, nilikuwa nawaza Sana Nani ndo rais kwasasa sielewi, Samia Hana Kazi yoyote ambayo inaonekana kufanywa na rais wa nchi.
Haongozi chochote, hatoi maelekezo, yupo njiani Kila siku, Mpango ndo sijui kapangwa wapi, WK nae anajitutumua bila maboss wake kusikika.
Kabaki anasikika gwajima tuu.
Sijui mabeyo anatusikia?
That GANG is gaining grounds!
 
Tywin Lannister:
You're a fool if you believe he's the most powerful man in Westeros.

Tyrion Lannister:
[sarcastically] A treasonous statement! Joffrey is king.

Tywin Lannister:
You really think a crown gives you power?

Je umeelewa nini kwenye majibizano haya???
You really think a crown gives you power?[emoji848]
 
Mkuu nchi iko mikononi mwa kikundi kinachoitwa Axis of Evil na Kiongozi wao ni gaidi Mwigulu Nchemba kwenye kundi hilo yuko Majaliwa, Ndugai, Mpango, Msigwa, Diwani wa TISS, Ndugulile. Hawa watu ni watu hatari sana na sijui nchi itakuwa mikononi mwa hawa kwa kipindi gani.
That GANG is gaining grounds![emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
Endelea kuota! Number moja anamuhitaji sana CDF zaidi ya mtu yoyote kweny Nchi hii! CDF ana miaka 64 na utashangaa atapiga hadi 66 huko!

Kipindi Magu amekata moto, wahafidhina,walikua washapanga kabisa,kwenda mwambia Bi mdashi ajiuzuru u Makamu wa Rais,kwamba Magu akizinduka anampiga chini,Maza alikomaa baada yakupewa taarifa na CDF! Na ndiyo CDF alikomaa Maza apewe Nchi,bila CDF Rais wa sasa hivi angekua kidoti yule kiongozi wa ile ofisi iliyopo Dodoma,yenye majukumu yakutunga sheria!
Tuanzishie uzi wa hii habari uiongezee na nyama
 
Back
Top Bottom