Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

Sijui chuo gani wanafundisha kujenga changarawe juu ya lami nzima isiyo na tatizo.
Sijui tathmin ya kumwaga changarawe kwenye lami kwenye tenda inajazweje na mimi nikashiriki. wanataka kutugombanisha vile kati ya wananchi na serikali.
hawajali wenye magari tumelipa vingapi na tunalipia mangapi.

Mtazamo wangu TUNAGOMBANISHWA.
Mtazamo wangu TUNAGOMBANISHWA[emoji2827][emoji2827][emoji2827]na wenye malengo mabaya
 
Hapa ndipo ninapoona hitaji la katiba mpya.. Leo nimeambiwa tozo kwenye mabenki zimeanza rasmi[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji2827]
Safi kabisa!

Nashauri ziongezwe! Maana tunapumua baada ya kunyanyaswa kwa miaka 5.

Baada ya kutopandishwa mishahara na madaraja sasa tumeoandishiwa. Nashauri kodi iongezwe mara dufu
 
Tumerudi kwenye urais taasisi. Sio kipindi kile kila siku Rais anajibu hoja za watu hadi wa mtaani kama vile kina Mnyika, Jacob,Piere Liquid, Mzee Mpili pili, Gwajima n.k. Miradi inaendelea reli imeshatolewa fedha toka Mwanza -Dodoma, Umeme,ujenzi wa vituo vya afya,madarasa,Barabara mpya,treni,mikopo ya wanafunzi,madaraja ya watumishi,ajira mpya n.k na pesa zimeshaelekezwa kwenye shughuli husika.

CHADEMA mnalazimisha mjibiwe kila hoja na matakwa yenu ya kisiasa. Hiyo sio style ya Mama
 
[mention]Mshana Jr [/mention] mama hana timu bado kwan hakutegemea io nafasi hivo anawapambe ambao nafikiri ndio una ujumbe wao
Mama bado anaona yupo kwenye ile nafas ya namba mbili ndio mana kutwa safari,hafla na mengine
Jitihada kubwa zinahitajika mama kua na timu kubwa ya kizalendo
Timu ipi?

Alipoingia ikulu alitimua timu yote ya pale ikulu akaweka ya kwake!

Na mlishangilia kweli humu mkisema sukuma gang out.

Sasa hivi vilio vyenu havitawasaidia chochote
 
Mama amekuwa mithili ya mtoto ambae kanunuliwa vitu vya kuchezea na kupangiwa leo utachezea hiki na kesho kile. Ni kwamba anamiliki vitu hivyo lakini hana mamlaka navyo mpaka mzazi aongee.[emoji3064][emoji38][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31][emoji31]
Hahaaa Gang haina mchezo na Leo amekuwa chifu😁😁😁😁
 
Mkuu, tusilaumu watu.

Mama yetu sio mfuatiliaji, ni mtu anayepokea ushauri bila kuutafakari.

Ni mtu wa safari, mikutano na matamasha.

Hajui nchi iende wapi, mipango ya kuifanya Tanzania iwe ya viwanda (Malengo ya Magu) haipewi kipaumbele tena, demokrasia (iliyoonekana kuwa leadership style yake) anaiongea mdomoni tu.

Kwa ufupi mama hakujiandaa kuwa Rais, hata baada ya kuwa bado hawazi na kutenda kama Rais. Katika hali kama hiyo ni wazi kuwa kuna watu bila kutaka ndo wanaongoza nchi.

Kwa ufupi nchi inaongozwa na washauri.
Na msaidizi wake ndio hamna kitu kabisa
 
Humu humu ndani walikua wanasema mwenda zake mbaya[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] yeyu yeyiiiiiii kuleni tozo na sahii Tozo hadi bank hakuna kwa kukimbiliaaaa[emoji23][emoji23][emoji23] nakumbuka tu maneno machache ya mwenda zake aliposema NCHI HII NI TAJIRI SANA LAKINI SERIKALI ILIKUA INASHINDWA KUKOMAA KUDAI KODI KWENYE MADINI TUNAPOTZA ZAIDI YA TRILLION 300 PESA YA KUENDESHE NCHI MIAKA 10 BILA MKoPO TUNAKOMAA KWATOZA KODI WANANCHI HAWA MASIKINI YAWEZEKANA PESA ZETU NDIO WANAZITUMIA KUFANYA MAENDELEO HUKO KWAO TUNAONA KUZURI KUNA FAA VILE Rest In Paradise my all time nest president ever seen in world history I love you......kwa bahati mbaya umetuachia mtu sio mfatiliaji anazunguka kama vile yeye ndio waziri wa utaliii sasa kama akifanya haya yoote mwenyewe kuna umuhimu gani wa kua na mawaziri[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji706]
Ukiandika haya mleta mada na bavicha wengine watakutukana
 
Back
Top Bottom