Ugumu wangu
JF-Expert Member
- May 6, 2021
- 1,685
- 3,552
Tuamke kichwani na moyoni yapo na yanakuja tujipange kiakili na kimwili pia. Tanzania mpya is coming soon ❣️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Bi. Mkubwa amepwaya sana lakini haifai kumuombea kifo. Anao ndugu wanaompenda na kumuhitaji sana kama mwanafamilia tofauti mimi na wewe ambao tunamtazama kama RaisAnakufa lini kwani
Acheni huu UPUMBAVU jiwez alikaa madarakani Miaka 6 ukiacha kuua watu nakufilisi watu aliweza nini...jiwe na huyo mamaenu wote hawana la maana zaidi yakuumiza watu tuHumu humu ndani walikua wanasema mwenda zake mbaya[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] yeyu yeyiiiiiii kuleni tozo na sahii Tozo hadi bank hakuna kwa kukimbiliaaaa[emoji23][emoji23][emoji23] nakumbuka tu maneno machache ya mwenda zake aliposema NCHI HII NI TAJIRI SANA LAKINI SERIKALI ILIKUA INASHINDWA KUKOMAA KUDAI KODI KWENYE MADINI TUNAPOTZA ZAIDI YA TRILLION 300 PESA YA KUENDESHE NCHI MIAKA 10 BILA MKoPO TUNAKOMAA KWATOZA KODI WANANCHI HAWA MASIKINI YAWEZEKANA PESA ZETU NDIO WANAZITUMIA KUFANYA MAENDELEO HUKO KWAO TUNAONA KUZURI KUNA FAA VILE Rest In Paradise my all time nest president ever seen in world history I love you......kwa bahati mbaya umetuachia mtu sio mfatiliaji anazunguka kama vile yeye ndio waziri wa utaliii sasa kama akifanya haya yoote mwenyewe kuna umuhimu gani wa kua na mawaziri[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji706]
Tuambie unachokijua vinginevyo utakuwa miongoni mwa mliotajwa so unajua mmegundulikaKitu hujui ni bora ukanyamaza
Uwezo huo hana tena, the gang imembadilishia namba za simu. Watu anaowasiliana nao wote wana control kutoka kwa gang.[mention]Mshana Jr [/mention] mama hana timu bado kwan hakutegemea io nafasi hivo anawapambe ambao nafikiri ndio una ujumbe wao
Mama bado anaona yupo kwenye ile nafas ya namba mbili ndio mana kutwa safari, hafla na mengine
Jitihada kubwa zinahitajika mama kua na timu kubwa ya kizalendo
[emoji23][emoji23][emoji23]Hawa jamaa ni viazi sana mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimesoma kimya kimya huku natafuna karanga mpaka hapa uzalendo ukanishinda!
Alimua mamako?Acheni huu UPUMBAVU jiwez alikaa madarakani Miaka 6 ukiacha kuua watu nakufilisi watu aliweza nini...jiwe na huyo mamaenu wote hawana la maana zaidi yakuumiza watu tu
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Hilo genge gani?hawazeeki?hawafi?hawaishi?mbona mzee aliyetangulia hamkusema amepotezwa na genge ?😂😂Bila kulitolea uvivu kundi hili tungali na safari ndefu sana.
Yaonesha mama kafika bei:
"Kakubali kumtumikia kafiri ili apate mradi wake."
Yaonesha lile genge liko pale pale na ndilo lililoshika hatamu.
Yawezekana lile dokezo halikufua dafu.
Kabisa, ndiyo maana ulinzi wake ulikuwa balaa..[emoji3][emoji3][emoji3] hakupenda kufa lakini
Tozo kwenye benk zilianza muda ila hawakutaka kuweka wazi, kama una mtu benk muulize.Hapa ndipo ninapoona hitaji la katiba mpya. Leo nimeambiwa tozo kwenye mabenki zimeanza rasmi[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji2827]
""Msaidizi wa mkuu""!!!!!!!Unaweza kufanyiwa maombi mabaya apanguswe na kale kaugonjwa... Hivi msaidizi wa mkuu yupo wapi?
Kafa....[emoji3][emoji3][emoji3] hakupenda kufa lakini