Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
Hilo sina shaka nalo. Swali langu ni Je, itakuwa rahisi kukubaliana na matokeo? Na vipi itasaidia kumaliza ombwe lililopo sasa?Nina mashaka tutampoteza CDF siku si nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo sina shaka nalo. Swali langu ni Je, itakuwa rahisi kukubaliana na matokeo? Na vipi itasaidia kumaliza ombwe lililopo sasa?Nina mashaka tutampoteza CDF siku si nyingi
Kabisa huyu mwalimu alitukosea sanaa, halafu akawa mara kwa mara anatoa angalizo kwamba hii katiba akiingia mtu mtata atatuvuruga sana maana inatoa mamlaka makubwa sanaa but kwa maajabu hakufanya lolote kwenye urais wake wote na hata alipostaafu.Nyerere alitukosea sana.
Kwa kipindi hiki ni ngumu kuipata, watu lazima walinde maslahi yao.
Wafaidika wakubwa wa katiba hii ndo hao tunaotegemea watuletee katiba mpya hali inayopelekea mchakato wake kuwa ngumu
Sio kujiandaa tu hata kukubaliana na hali kwamba sasa keshakamata usukani.itoshe kusema Bi mkubwa hakujiandaa kuwa rais
Kwa Lugha nyingine halikuwa chaguo sahihi kwa VP?? Maana ukishapewa hiyo post tayari ni president in waiting in case something unexpected happens...itoshe kusema Bi mkubwa hakujiandaa kuwa rais
VP wa Sasa naye kapoa.Kwa Lugha nyingine halikuwa chaguo sahihi kwa VP?? Maana ukishapewa hiyo post tayari ni president in waiting in case something unexpected happens...
Hivi yupo kwani?VP wa Sasa naye kapoa.
Haijulikani you wapi mtaalam.Hivi yupo kwani?
Leo mama kasimikwa kuwa chifu wa machifu, haya ni matusi ya rejareja.Hitaji la Katiba Mpya mwangwi wake unazidi kusikika kuliko wakati mwingine wowote.
Kwa nje tu hivi ni kama kila kitu kinaenda sawa lakini kuna hali fulani ya taharuki ya kimya na sintofahamu kubwa ndani yake.
Ni kama kuna mambo yanapangwa huko halafu yanaletwa upenuni bila hata kueleweshwa vema
Kiongozi mkuu ni kama kawekewa mipaka mingi na kutengwa na hadhira.
Anahangaishwa huko na huko na kuwekwa busy kwa mambo ambayo yalistahili kufanywa na wasaidizi wake.
Kuna hofu fulani miongoni mwetu. Kuna uoga umewashika watu ni kama vile kuna jinamizi kubwa lisiloonekana linatuchungulia na kutufuatilia na kutusikiliza
Si kama nchi iko kwenye auto mode la hasha. Bali kuna kikundi cha wachache ndani ya mfumo pengine ndio kimeyateka mamlaka!
Watu hawasikiki lakini wapo
Watu hawaonekani lakini vitendo vyao unaviona!
Tunanyukwa kimyakimya!
Hii hali haina afya kwa taifa na haipaswi kuendelea kwa muda mrefu. Hawa wanaozungukana huko ndani hawana nia njema na taifa hili. Sinema si kwamba zimeisha bali zinaandaliwa zingine kutuweka busy tena tuyasahau haya!
Kama hizi hisia zangu ni kinyume na uhalisia basi napaswa kuonana na tabibu haraka! Ila kama si kinyume. MUNGU TUSAIDIE
Ili iwejeNina mashaka tutampoteza CDF siku si nyingi
Nmeona hapo juu umeandika mkuuSijasema hivyo
Na wahenga wana usemi "wasi wasi akili"...Chanzo cha wasiwasi wangu ni wasiwasi mkuu
Safi kabisa!
Nashauri ziongezwe! Maana tunapumua baada ya kunyanyaswa kwa miaka 5.
Baada ya kutopandishwa mishahara na madaraja sasa tumeoandishiwa. Nashauri kodi iongezwe mara dufu
Vilivyopangwa na vikatimia kwa asilimia zote Ni pale mwanadamu huyu anaposimama kwenye kusudi la Mungu, Kwani mpango na kusudi la Mungu kwa mwanadamu yeyote anaezaliwa Ni kuona mwanadamu huyu akiishi maisha matakatifu yenye kumpendeza na kumwabudu yeye, jiulize Ni wanadamu wangapi wapo kwenye huu moango?Mpangaji ni Mungu. In fact Kila jambo na Kila tukio katika maisha yako vimepanjwa kabla hujazaliwa.