Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

Mkuu, tusilaumu watu.

Mama yetu sio mfuatiliaji, ni mtu anayepokea ushauri bila kuutafakari.

Ni mtu wa safari, mikutano na matamasha.

Hajui nchi iende wapi, mipango ya kuifanya Tanzania iwe ya viwanda (Malengo ya Magu) haipewi kipaumbele tena, demokrasia (iliyoonekana kuwa leadership style yake) anaiongea mdomoni tu.

Kwa ufupi mama hakujiandaa kuwa Rais, hata baada ya kuwa bado hawazi na kutenda kama Rais. Katika hali kama hiyo ni wazi kuwa kuna watu bila kutaka ndo wanaongoza nchi.

Kwa ufupi nchi inaongozwa na washauri.
Ndio hako kakundi kanaongoza nchi maza kashapangiwa majukumu yake ndio haya tuyaonayo,.
 
Hitaji la Katiba Mpya mwangwi wake unazidi kusikika kuliko wakati mwingine wowote.

Kwa nje tu hivi ni kama kila kitu kinaenda sawa lakini kuna hali fulani ya taharuki ya kimya na sintofahamu kubwa ndani yake.

Ni kama kuna mambo yanapangwa huko halafu yanaletwa upenuni bila hata kueleweshwa vema
Kiongozi mkuu ni kama kawekewa mipaka mingi na kutengwa na hadhira.

Anahangaishwa huko na huko na kuwekwa busy kwa mambo ambayo yalistahili kufanywa na wasaidizi wake.

Kuna hofu fulani miongoni mwetu. Kuna uoga umewashika watu ni kama vile kuna jinamizi kubwa lisiloonekana linatuchungulia na kutufuatilia na kutusikiliza

Si kama nchi iko kwenye auto mode la hasha. Bali kuna kikundi cha wachache ndani ya mfumo pengine ndio kimeyateka mamlaka!
Watu hawasikiki lakini wapo
Watu hawaonekani lakini vitendo vyao unaviona!
Tunanyukwa kimyakimya!

Hii hali haina afya kwa taifa na haipaswi kuendelea kwa muda mrefu... Hawa wanaozungukana huko ndani hawana nia njema na taifa hili...sinema si kwamba zimeisha bali zinaandaliwa zingine kutuweka busy tena tuyasahau haya...!!!

Kama hizi hisia zangu ni kinyume na uhalisia basi napaswa kuonana na tabibu haraka! Ila kama si kinyume...MUNGU TUSAIDIE
chief hangaya ana matatizo she is under remote control,unfortunately our democracy is running beyond repair
 
Mkuu, tusilaumu watu.

Mama yetu sio mfuatiliaji, ni mtu anayepokea ushauri bila kuutafakari.

Ni mtu wa safari, mikutano na matamasha.

Hajui nchi iende wapi, mipango ya kuifanya Tanzania iwe ya viwanda (Malengo ya Magu) haipewi kipaumbele tena, demokrasia (iliyoonekana kuwa leadership style yake) anaiongea mdomoni tu.

Kwa ufupi mama hakujiandaa kuwa Rais, hata baada ya kuwa bado hawazi na kutenda kama Rais. Katika hali kama hiyo ni wazi kuwa kuna watu bila kutaka ndo wanaongoza nchi.

Kwa ufupi nchi inaongozwa na washauri.
Yumkini inaongozwa na wahuni, washauri lazima wawe na weledi.
 
Hujawahi kuwa na akili inayotosha kibaba cha pishi moja
Tunapumua baada ya kuonewa kwa miaka 5.

Mama anawakomesha mataga na sukuma gang.

Mama anaupiga mwingi.

Lile zee katili bora limekufa.

Mama bora anatuchapa huku anatugeia na soda.

Mama anarudisha hela mtaani ili sisi mabavicha tuwe tunaziokota.

Pole pole na Bashiru wanakiona cha moto.
 
Tujikumbushe makala iliyoandaliwa na gazeti la RAIA MWEMA katika mahojiano ya CHACHA MATIKO aliyewahi kuwa Rais wa serikali ya wanafunzi chuo kikuu cha Dar es salaam,alisababisha mgomo ikafika hatua mbaya zaidi ya yy kutekwa na watu wasiojulikana apa ndipo penye namna serikali inavyomilikiwa mtalalamika sana lakini hata ukiwekwa ww kuwa rais utafanya kile wanachokitaka waliokuweka huku ukiumia moyoni na huna cha kufanya.
 
Ndungulile anaushawishi gani mkuu!?
Mkuu nchi iko mikononi mwa kikundi kinachoitwa Axis of Evil na Kiongozi wao ni gaidi Mwigulu Nchemba kwenye kundi hilo yuko Majaliwa, Ndugai, Mpango, Msigwa, Diwani wa TISS, Ndugulile. Hawa watu ni watu hatari sana na sijui nchi itakuwa mikononi mwa hawa kwa kipindi gani.
 
You really think a crown gives you power?[emoji848]
Jibu ni NO,je power inapatikana wapi
1.Katika nchi zinazoendelea pesa inaweza kukupa power ukanunua wapambe ukanunua media n.k
2.Unaweza pata power kupitia public(wananchi) aina hii huwakuta watu ambao ni wanaharakati pia maumivu yake sio ya kitoto,
Kama kuna mtu anamlaumu sana samia nadhani hajui nini kiko nyuma ya mamlaka without power.
 
Mkuu umenena kweli tupu, nilikuwa nawaza Sana Nani ndo rais kwasasa sielewi, Samia Hana Kazi yoyote ambayo inaonekana kufanywa na rais wa nchi.
Haongozi chochote, hatoi maelekezo, yupo njiani Kila siku, Mpango ndo sijui kapangwa wapi, WK nae anajitutumua bila maboss wake kusikika.
Kabaki anasikika gwajima tuu.
Sijui mabeyo anatusikia?
Una maana ya Guinea ya west Africa?🤔🧐😲
 
Hitaji la Katiba Mpya mwangwi wake unazidi kusikika kuliko wakati mwingine wowote.

Kwa nje tu hivi ni kama kila kitu kinaenda sawa lakini kuna hali fulani ya taharuki ya kimya na sintofahamu kubwa ndani yake.

Ni kama kuna mambo yanapangwa huko halafu yanaletwa upenuni bila hata kueleweshwa vema
Kiongozi mkuu ni kama kawekewa mipaka mingi na kutengwa na hadhira.

Anahangaishwa huko na huko na kuwekwa busy kwa mambo ambayo yalistahili kufanywa na wasaidizi wake.

Kuna hofu fulani miongoni mwetu. Kuna uoga umewashika watu ni kama vile kuna jinamizi kubwa lisiloonekana linatuchungulia na kutufuatilia na kutusikiliza

Si kama nchi iko kwenye auto mode la hasha. Bali kuna kikundi cha wachache ndani ya mfumo pengine ndio kimeyateka mamlaka!
Watu hawasikiki lakini wapo
Watu hawaonekani lakini vitendo vyao unaviona!
Tunanyukwa kimyakimya!

Hii hali haina afya kwa taifa na haipaswi kuendelea kwa muda mrefu... Hawa wanaozungukana huko ndani hawana nia njema na taifa hili...sinema si kwamba zimeisha bali zinaandaliwa zingine kutuweka busy tena tuyasahau haya...!!!

Kama hizi hisia zangu ni kinyume na uhalisia basi napaswa kuonana na tabibu haraka! Ila kama si kinyume...MUNGU TUSAIDIE

Bila kulitolea uvivu kundi hili tungali na safari ndefu sana.

Yaonesha mama kafika bei:

"Kakubali kumtumikia kafiri ili apate mradi wake."

Yaonesha lile genge liko pale pale na ndilo lililoshika hatamu.

Yawezekana lile dokezo halikufua dafu.
 
Kuna kipindi JK alishawahi sema! Tukiyakamata Mafisadi,Nchi itawaka moto! Huyu Mzee alikua anajua Michezo ya kihuni,Michezo ya watoto wa town! Kina Rostam,Tamil na kina Karamagi!
Ogopa sana nguvu ya pesa kuna watu wana pesa ila hawatoki nje na kujitangaza ila michezo wanayoifanya ndani ya system ina athari kubwa sana kwa wananchi wa kawaida kwao ni kama wanacheza game kwenye simu na wanaona ni raha sana.
 
Mkuu, tusilaumu watu.

Mama yetu sio mfuatiliaji, ni mtu anayepokea ushauri bila kuutafakari.

Ni mtu wa safari, mikutano na matamasha.

Hajui nchi iende wapi, mipango ya kuifanya Tanzania iwe ya viwanda (Malengo ya Magu) haipewi kipaumbele tena, demokrasia (iliyoonekana kuwa leadership style yake) anaiongea mdomoni tu.

Kwa ufupi mama hakujiandaa kuwa Rais, hata baada ya kuwa bado hawazi na kutenda kama Rais. Katika hali kama hiyo ni wazi kuwa kuna watu bila kutaka ndo wanaongoza nchi.

Kwa ufupi nchi inaongozwa na washauri.
Hasa Mwigulu. Hivi hii Nchi hii watu walivyofunga mikanda ndio ya kuweka Tozo mpaka kwenye kope?.
 
Mkuu umenena kweli tupu, nilikuwa nawaza Sana Nani ndo rais kwasasa sielewi, Samia Hana Kazi yoyote ambayo inaonekana kufanywa na rais wa nchi.

Haongozi chochote, hatoi maelekezo, yupo njiani Kila siku, Mpango ndo sijui kapangwa wapi, WK nae anajitutumua bila maboss wake kusikika.

Kabaki anasikika gwajima tu.

Sijui mabeyo anatusikia?
Ongeza sauti Baba 🤣🤣😂😄😁
 
Huyu wa kuitwa 'raisi' sio raisi wa kidemokrasia kwamba ni chaguo la wananchi ila ni pandikizo la kikundi fulani fulani kilichopo ndani ya system na ndicho kinachoendesha serikali kwa sasa kwa mgongo wa rais. Haina afya hata kidogo pia hakuna kilicho ndani kikashindwa kuibuka nje. Acha muda uongee.
Hitaji la Katiba Mpya mwangwi wake unazidi kusikika kuliko wakati mwingine wowote.

Kwa nje tu hivi ni kama kila kitu kinaenda sawa lakini kuna hali fulani ya taharuki ya kimya na sintofahamu kubwa ndani yake.

Ni kama kuna mambo yanapangwa huko halafu yanaletwa upenuni bila hata kueleweshwa vema

Kiongozi mkuu ni kama kawekewa mipaka mingi na kutengwa na hadhira.

Anahangaishwa huko na huko na kuwekwa busy kwa mambo ambayo yalistahili kufanywa na wasaidizi wake.

Kuna hofu fulani miongoni mwetu. Kuna uoga umewashika watu ni kama vile kuna jinamizi kubwa lisiloonekana linatuchungulia na kutufuatilia na kutusikiliza

Si kama nchi iko kwenye auto mode la hasha. Bali kuna kikundi cha wachache ndani ya mfumo pengine ndio kimeyateka mamlaka!
Watu hawasikiki lakini wapo

Watu hawaonekani lakini vitendo vyao unaviona!

Tunanyukwa kimyakimya!

Hii hali haina afya kwa taifa na haipaswi kuendelea kwa muda mrefu. Hawa wanaozungukana huko ndani hawana nia njema na taifa hili. Sinema si kwamba zimeisha bali zinaandaliwa zingine kutuweka busy tena tuyasahau haya!

Kama hizi hisia zangu ni kinyume na uhalisia basi napaswa kuonana na tabibu haraka! Ila kama si kinyume. MUNGU TUSAIDIE
 
Hebu imagine ' raisi hana hata kujiamini, kila mara kauli ni ''naombeni mkalifanyie kazi'' je, ni nani wa kufanyia/kutatua matatizo ya wananchi kama sio yeye mwenye mamlaka yote? Aagize jambo na litendeke chap. Sasa ni nani huyu chifu huwa anawaomba wamfanyie kazi?
 
Back
Top Bottom