Mkuu, tusilaumu watu.
Mama yetu sio mfuatiliaji, ni mtu anayepokea ushauri bila kuutafakari.
Ni mtu wa safari, mikutano na matamasha.
Hajui nchi iende wapi, mipango ya kuifanya Tanzania iwe ya viwanda (Malengo ya Magu) haipewi kipaumbele tena, demokrasia (iliyoonekana kuwa leadership style yake) anaiongea mdomoni tu.
Kwa ufupi mama hakujiandaa kuwa Rais, hata baada ya kuwa bado hawazi na kutenda kama Rais. Katika hali kama hiyo ni wazi kuwa kuna watu bila kutaka ndo wanaongoza nchi.
Kwa ufupi nchi inaongozwa na washauri.