Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

Nina mashaka kuna kikundi ndio kinaendesha nchi kwa sasa

Bado nakipenda kifanyio changu na kilinge nimeshakigawa[emoji24]

[mention]Mshana Jr [/mention] mama hana timu bado kwan hakutegemea io nafasi hivo anawapambe ambao nafikiri ndio una ujumbe wao

Mama bado anaona yupo kwenye ile nafas ya namba mbili ndio mana kutwa safari, hafla na mengine

Jitihada kubwa zinahitajika mama kua na timu kubwa ya kizalendo
 
Anahangaishwa huko na huko na kuwekwa busy kwa mambo ambayo yalistahili kufanywa na wasaidizi wake.
Kaka, nimeshangaa sana mambo ya huyu mama. Yaani kabisa ameacha ofisi na kwenda kuamua 'kuigiza movie' badala ya kushughulika na serious matters. Wapo watu wanatetea hii kitu kwamba hata Kagame 2018 aliigiza filamu ya Royal Tour. Kwangu mimi this doesn't make sense at all. Yapo mambo mengi na ya msingi sana yanahitaji uamuzi wa Rais na siyo huu utumbo unaofanyika sasa
 
Humu humu ndani walikua wanasema mwenda zake mbaya[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] yeyu yeyiiiiiii kuleni tozo na sahii Tozo hadi bank hakuna kwa kukimbiliaaaa[emoji23][emoji23][emoji23] nakumbuka tu maneno machache ya mwenda zake aliposema NCHI HII NI TAJIRI SANA LAKINI SERIKALI ILIKUA INASHINDWA KUKOMAA KUDAI KODI KWENYE MADINI TUNAPOTZA ZAIDI YA TRILLION 300 PESA YA KUENDESHE NCHI MIAKA 10 BILA MKoPO TUNAKOMAA KWATOZA KODI WANANCHI HAWA MASIKINI YAWEZEKANA PESA ZETU NDIO WANAZITUMIA KUFANYA MAENDELEO HUKO KWAO TUNAONA KUZURI KUNA FAA VILE Rest In Paradise my all time nest president ever seen in world history I love you......kwa bahati mbaya umetuachia mtu sio mfatiliaji anazunguka kama vile yeye ndio waziri wa utaliii sasa kama akifanya haya yoote mwenyewe kuna umuhimu gani wa kua na mawaziri[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji706]
 
Hapa ndipo ninapoona hitaji la katiba mpya.. Leo nimeambiwa tozo kwenye mabenki zimeanza rasmi[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji2827]
Nitahakikisha unakula ban nyingine 😂😂 kidding!
 
Hitaji la Katiba Mpya mwangwi wake unazidi kusikika kuliko wakati mwingine wowote.

Kwa nje tu hivi ni kama kila kitu kinaenda sawa lakini kuna hali fulani ya taharuki ya kimya na sintofahamu kubwa ndani yake.

Ni kama kuna mambo yanapangwa huko halafu yanaletwa upenuni bila hata kueleweshwa vema
Kiongozi mkuu ni kama kawekewa mipaka mingi na kutengwa na hadhira.

Anahangaishwa huko na huko na kuwekwa busy kwa mambo ambayo yalistahili kufanywa na wasaidizi wake.

Kuna hofu fulani miongoni mwetu. Kuna uoga umewashika watu ni kama vile kuna jinamizi kubwa lisiloonekana linatuchungulia na kutufuatilia na kutusikiliza

Si kama nchi iko kwenye auto mode la hasha. Bali kuna kikundi cha wachache ndani ya mfumo pengine ndio kimeyateka mamlaka!
Watu hawasikiki lakini wapo
Watu hawaonekani lakini vitendo vyao unaviona!
Tunanyukwa kimyakimya!

Hii hali haina afya kwa taifa na haipaswi kuendelea kwa muda mrefu... Hawa wanaozungukana huko ndani hawana nia njema na taifa hili...sinema si kwamba zimeisha bali zinaandaliwa zingine kutuweka busy tena tuyasahau haya...!!!

Kama hizi hisia zangu ni kinyume na uhalisia basi napaswa kuonana na tabibu haraka! Ila kama si kinyume...MUNGU TUSAIDIE
Acha tu, in short she's just a puppet, the real masters are behind the scenes..
 
Everything is in the dirty hands now. Samia if won't be warned as early as possible, she may end up into a hole of shit! President need not to trust anyone except herself. She has to question everything on her table. She started well, when they saw they are losing they pulled her back. They are ahead of her. Mshana what you have said is a glance of ice in a big sea. Let's keep waiting, before sun set, the child will be in town.
 
Sijui chuo gani wanafundisha kujenga changarawe juu ya lami nzima isiyo na tatizo.

Sijui tathmin ya kumwaga changarawe kwenye lami kwenye tenda inajazweje na mimi nikashiriki. wanataka kutugombanisha vile kati ya wananchi na serikali.

hawajali wenye magari tumelipa vingapi na tunalipia mangapi.

Mtazamo wangu TUNAGOMBANISHWA.
 
Pamoja na mapungufu yake, JPM alikuwa ana uwezo wa kumiliki maamuzi yake katika kila jambo. Hili lilimfanya ajiamini na kusimamia mawazo/maamuzi yake hata kama yalipingwa na ulimwengu mzima.

Sasa kwa mama yetu ni kama vile haamini bado kuwa yeye ndie raisi, ni kama vile hajui nguvu aliyokuwa nayo na mbaya zaidi ni wazi kaweka bayana kwa washauri wake kuwa hana dira. Hili linawapa nguvu wasaidizi wake kufanya maamuzi bila kumshirikisha ipaswavyo ama kupindisha uhalisia hasa wa athari ya maamuzi hayo. Hii inamgharimu mama pale athari inapokuwa hasi, inabidi kutoa kauli kutuliza jazba ambapo in reality linafikirisha juu ya alikuwa wapi mambo yakiamuliwa.

Japo kuna baadhi ya watu watapinga kwa vile wamampenda mama, ila ni wazi mama hajui anakokwenda, hana dira na hana kauli katika maamuzi yake.

Mama amekuwa mithili ya mtoto ambae kanunuliwa vitu vya kuchezea na kupangiwa leo utachezea hiki na kesho kile. Ni kwamba anamiliki vitu hivyo lakini hana mamlaka navyo mpaka mzazi aongee.
Umesahau utawala wa Mzee Ruksa? Kighoma alikuwa
 
Everything is in the dirty hands now. Samia if won't be warned as early as possible, she may end up into a hole of shit! President need not to trust anyone except herself. She has to question everything on her table. She started well, when they saw they are losing they pulled her back. They are ahead of her. Mshana what you have said is a glance of ice in a big sea. Let's keep waiting, before sun set, the child will be in town.
The feeling is really terrifying [emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
Back
Top Bottom