Umeongea neno kwa akili nyingi. Kuna neno zito limehificha hapa lakini linasikika kwa sauti kubwa sana. Vitu havitokei kwa bahati (nzuri au mbaya), vinapangwa!
Hata Covid-19 imetumika kama fursa kwa baadhi ya matukio!
I’m off!
Covid yenyewe ilitengenezwa uko majuu ili mambo fulani yakae sawa.unajua ukiona mtu (inch) a anataka kukuzidi ubavu mletee maradhi aendelee kukutegemea au anakuletea maradhi yakutowe kwenye mstari wakati ukiangaika kuyatibu yaye anatimiza matakwa yake.hata kama hayo maradhi yatamuumiza ila lengo lazima litimie.hilo ndo lengo la covid
Tofauti na hilo fursa kama bahati ikapatikana yule bwana mwenye timu yake tiifu imekamilika uwanjani akaingia 18 lakini ili watu wenye akili fupi waamini kuwa ni matakwa ya mungu lazima timu hii haifai lazima timu mzima iguswe.
Hii timu bingwa tunafanyaje ili ifutike kwenye uso wa dunia, refa inabidi afate maelekezo kumbuka anatakiwa mwenye timu yake saa tunaanza na wachezaji,
Maelekezo yanaanza, kwa kutumia fursa ile ile wewe refa hakikisha walinda mlango hata kosa dogo atoke kwa red card.
Wakaanzia mbalimbali ili watu wasielewe mpira unachezwaje uwanjani, wataondo wale wa kati hope ndo zinaitwa wing , ikaondoka 5, kaguswa no 2, mwenye timu akapata mshutuko aamini kama amempoteza mlinzi makini, nahisi alijua ni mpango wa mungu, kabla hajakaa sawa akanyofolewa goalkeeper mwenye timu hakuamini, akajipa matumaini, timu ndo inadhoofishwa hivyo, wakamgusa no 3 ahaaa huyu nadhani aliaga kwao maana alibahaa kweli kweli, akapigwa yellow card anaumwa kabisa akaamua kwenda hospital na vifaa vyake Israel inamuita. Watu sasa mchezaji no 3 bana yupo hoi wengine wanasema hayupo hoi mara kajitokeza anaongea kwa taabu kweriiiiy kweriiiiy. Mungu si juma wala khamis akapona sasa. Akarudi uwanjani.
Kama bahati mwenye timu akaingia 18 dah bora angesafirigi, tho asingeweza safiri, kama utani mwenye timu kaondolewa. Wachezaji na mashabeki waliumua hadi leo, Kumbuka timu inaendelea, baada ya muda wakaona no 4 nae mtiifu sana ya mwenye timu yake atakuja kuleta shida mwenye usaili mpya akapigwa redcard.
Hawa waliobaki kwenye timu ni forward ambao hawana back nyuma timu haina walinzi magoli yanaingia tu.ila nao watatoka tu mdogo mdogo.
Kweli mpira hauhitaji hasira.tunaiangalia hii time na mmiliki mpya akisajili vijana wapya.