Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Waliosoma syllabus za zamani ziliwafunga na dunia.Sawa na wale maprofu wa UD wapewao kipindi tbc kuponda mabeberu Ili wasake teuziHotuba ya leo imeonesha jinsi alivyo empty kichwani, kwani chanjo zote za TB, surua n.k tunazowachanja watoto wetu zimegunduliwa Afrika?..