Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,230
- 6,653
Hivi hajui kwamba kuna Watz walio oa/olewa na Mzungu?? Watajisikiaje Kiongozi Mkuu wa Nchi anapotamka maneno yale?? Je ktk watoto waliozaliwa kwenye ndoa zile ikitokea mmoja wao akawa na matatizo ya kibiolojia si atakimbilia kumlaumu Mzazi/Mzungu kwa ku reffer maneno ya Rais wake??Nadharia za wakomunist inferiority complex,
Aache kukua kwenye cocacola,maziwa ya kopo, computer, condoms,madawa ya ARV vyakula nk aje akuuwe kwenye chanjo.Hawa waliosoma syllabus za zamani zilizopandikizwa chuki dhidi ya weupe tabu kweli kweli.
Tuache kupandikiza/kuchochea chuki zisizokuwa na sababu. Haya siyo maneno mazuri kutamkwa na Kiongozi Mkuu wa Nchi. Hata kama yeye haamini sayansi aliyosoma bali miti shamba zaidi basi Busara ni muhimu.