Nina mashaka kuwa wasaidizi wa Rais Magufuli wanamdanganya

Nina mashaka kuwa wasaidizi wa Rais Magufuli wanamdanganya

Anayetengeneza Chanjo anamjua au anahasira na nchi mojawapo duniani? so anatumia mgongo wa nchi zote za wazungu? Boko Haram Wanachukia wazungu ila wanatumia silaha za wazungu kusumbua watu...
 
Hotuba ya leo imeonesha jinsi alivyo empty kichwani, kwani chanjo zote za TB, surua n.k tunazowachanja watoto wetu zimegunduliwa Afrika?

Jamaa ni mtu wa hovyo kabisa, na bila shaka amezungukwa na wajinga watupu wanaomwambia anachotaka kusikia.

Amekomaa kweli na kumwomba Mungu, hajui kuwa huyo Mungu wa kikatoliki aliletwa na mabeberu??
😒😒
 
Ningeelewa kama tungekuwa tumelazimishwa hiyo chanjo... ila kama hatujalazimishwa nini matusi sasa? Chanjo ya Homa ya Ini tulilazimishwa na watanzania wenyewe mimi nilikwepa
 
Ukiona mpaka raisi ya nchi anaongelea mambo ya wivu Kwa Tanzania basi huyo raisi sio mzima kichwani...
Hivi Tanzania tuna vitu gani ambavyo dunia haiwezi kuendelea bila Tanzania???
He is sick for sure. Wamarekani wana kila kitu tulichonacho except Tanzanite.
 
IMG-20210127-WA0194.jpg
 
Yaani jamaa anapuyanga Sana , ni heri akakaa kimya kuliko kufanya criticism za hovyo namna Ile tena public .. Anatia aibu Sana hili taifa , hata kama kuna vitu vya kiujanja ujanja wanakufanyia is better ukasolve kimya kimya aisee.... Kwa kutokuweka Lockdown hapo Sawa na hii ni kutokana na uchumi wetu ambao ni tia maji Tia maji.... Lakn kutuaminisha kwamba mzungu anafight na wewe Kwa njia hyo et ha ha haaaa ni ushamba wa kiwango cha tarmac road......!!!

Hata rasilimali tunazoaminishwa kila sku et Tanzania ni tajiri hazipo hata....
Mkuu usiwaze sisi tunajitenga nae....
tuseme yale ni maoni yake binafsi,sio maoni kama presdo....
akiwa hme kwake Seattle
 
Sasa kwa akili yako wewe mzungu anakupenda sana?
Hivi ni kitu gani tunatumia watanzania ambacho tumetengeneza wenyewe?simu,gari,bunduki inayomlinda,suti anazovaa,internet anayotumia ametengeneza yeye?
 
Inaonekana ameathiriwa na story za post colonial toka kwa wakubwa zake kuhusiana na wakoloni wa kizungu, kwa bahati mbaya anataka kutulisha wananchi wote matatizo yake ya kisaikolojia. Namuunga mkono kwenye kutoweka lockdown, lakini vitu alivyozungumza na mifano aliyotolea kuhusiana na huo ugonjwa, ni kama analazimisha kutuvika aibu watanzania wote.
Chanjo zimekuwepo toka enzi za mwalimu ndo wasubirie corona Ili waje watumalize.
Shida zetu tu zinatumaliza Wala haitahijiki corona.vita,njaa,umasikini,magonjwa,nk ni zaidi ya corona.
 
Chanjo zimekuwepo toka enzi za mwalimu ndo wasubirie corona Ili waje watumalize.
Shida zetu tu zinatumaliza Wala haitahijiki corona.vita,njaa,umasikini,magonjwa,nk ni zaidi ya corona.

Yaani acha tu, kwanza ni mzungu gani ana muda wa kuhangaika na sisi ambao bado tuko kwenye elimu ya matumizi ya choo.
 
Yaani acha tu, kwanza ni mzungu gani ana muda wa kuhangaika na sisi ambao bado tuko kwenye elimu ya matumizi ya choo.
Tangu umezalizwa unadundwa chanjo zitokazo kwa wazungu, unatumia colgate imetoka kwa wazungu,unakunywa cocacola imetoka kwa wazungu leo unasema wanataka kuuwa waafrika kupitia chanjo we ni mad kabisa.
 
Yaani acha tu, kwanza ni mzungu gani ana muda wa kuhangaika na sisi ambao bado tuko kwenye elimu ya matumizi ya choo.
Tangu umezalizwa unadundwa chanjo zitokazo kwa wazungu, unatumia colgate imetoka kwa wazungu,unakunywa cocacola imetoka kwa wazungu leo unasema wanataka kuuwa waafrika kupitia chanjo we ni mad kabisa.
 
Tahadhima kwenu kizazi Cha Covido-19!

Leo akihutubia kijijini kwake Chato katika uzinduzi wa shamba la miti (Silayo Forest) Rais Magufuli alitumia jukwaa hilo kutoa msimamo wa Serikali kuhusu vita kuu dhidi ya janga la Corona.

Pamoja na mambo mengine, Magufuli ameonya Watanzania kujihadhari na chanjo mbalimbali zinazoletwa na "vipepeo weupe" yaani wazungu akisema, "nchi hii ni tajiri sana" akimaanisha weupe hao hawana nia njema na Afrika.

Rais Magufuli ametolea mfano,"kuna nchi moja ililetewa chanjo kwa mabinti wa miaka 14 ili kujikinga na kansa ya kizazi lakini ikaja kugundulika chanjo hiyo iliwafanya wasichana hao wasizae kabisa", wawe wagumba.

Sijui Magufuli amesahau, hakuwepo nchini, au amedanganywa na wasaidizi wangu. Kwa mujibu wa kumbu-kumbu zangu ni kwamba chanjo hiyo ilitolewa kwa watoto wa Kitanzania kati ya Mwaka 2013/14 ikihamasishwa na Wizara ya Afya chini ya udhamini wa USAID.

Kama ni kweli maneno ya Mr. President, basi nchi hiyo ni Tanzania na tujiandaye kwa wimbi kubwa la kinadada wasiozaa, wagumba.

Hofu kubwa kwa wasichana wetu waliochanjwa.
Kama maarifa aliyo nayo hayamtoshi Wacha adanganywe tu
 
Tahadhima kwenu kizazi Cha Covido-19!

Leo akihutubia kijijini kwake Chato katika uzinduzi wa shamba la miti (Silayo Forest) Rais Magufuli alitumia jukwaa hilo kutoa msimamo wa Serikali kuhusu vita kuu dhidi ya janga la Corona.

Pamoja na mambo mengine, Magufuli ameonya Watanzania kujihadhari na chanjo mbalimbali zinazoletwa na "vipepeo weupe" yaani wazungu akisema, "nchi hii ni tajiri sana" akimaanisha weupe hao hawana nia njema na Afrika.

Rais Magufuli ametolea mfano,"kuna nchi moja ililetewa chanjo kwa mabinti wa miaka 14 ili kujikinga na kansa ya kizazi lakini ikaja kugundulika chanjo hiyo iliwafanya wasichana hao wasizae kabisa", wawe wagumba.

Sijui Magufuli amesahau, hakuwepo nchini, au amedanganywa na wasaidizi wangu. Kwa mujibu wa kumbu-kumbu zangu ni kwamba chanjo hiyo ilitolewa kwa watoto wa Kitanzania kati ya Mwaka 2013/14 ikihamasishwa na Wizara ya Afya chini ya udhamini wa USAID.

Kama ni kweli maneno ya Mr. President, basi nchi hiyo ni Tanzania na tujiandaye kwa wimbi kubwa la kinadada wasiozaa, wagumba.

Hofu kubwa kwa wasichana wetu waliochanjwa.
Kuna mismtach kubwa sana kati ya content na kichwa cha habari yako. Kichwa cha habari ni negative wakati taarifa ni positive
 
Back
Top Bottom